Julius Nyerere: Katika Uchaguzi wa mwaka 1995, Kamati Kuu ya NEC-CCM ilikata jina la Lowassa kwa hoja

Marehemu hazungumzwi vibaya kwa mila za kiafrika. Hawezi kusimama na kujitetea tumuache apumzike kwa amani.
 
Wanamtupia lawama ili kukwepa majukumu
 
Nyerere alikuwa Dikteta na EL alikuwa mpigaji. Huo ni ukweli kama unakuuma pole
 
Ngoja waje kupinga ,unafikria CCM hawana akili mpaka wamkate
 
Hakuwa mwizi tu, lilikuwa jambazi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…