Julius Nyerere: Katika Uchaguzi wa mwaka 1995, Kamati Kuu ya NEC-CCM ilikata jina la Lowassa kwa hoja

Julius Nyerere: Katika Uchaguzi wa mwaka 1995, Kamati Kuu ya NEC-CCM ilikata jina la Lowassa kwa hoja

Kumbe hii kasumba ya mwenye pesa kuonekana mwizi imeanza kututafuna miaka mingi sana, kama unaamini mtu ameiba, na ushahidi unao, mpeleke mahakamani, shida iko wapi?!

Lakini kumnyima haki zake kwa madai ya kihisia, kwasababu tu anaonekana ana pesa ni kumuonea. Lowassa amevumilia mengi toka kwenye jamii ya kishamba iliyokuwa nyuma ya fikra zake za mitikasi ya kujitafuta maishani.

- Jamii inayoona umaskini ni sifa, ndio maana utaskia fulani akijiita mimi mtoto wa maskini. Usipokuwa jasiri mtanzania unaweza kuacha kupambania maisha yako kwa kuogopa kuitwa mwizi!.

Ajabu kuanzia miaka hiyo mpaka miaka ya karibuni bado akawa anaitwa fisadi, kumbe tumerithi tabia ya kuhukumu kwa hisia bila udhahidi toka enzi za Nyerere, tukawa bado tunaishi nayo mpaka sasa, hili ni tatizo la jamii ya kitanzania - awe mpinzani au chama tawala.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Uongozi wa nchi kama uraisi hatuwezi kumpa mtu ambae tuna mashaka nae mwakyembe aliweza kuweka ushahidi wote tena mbele ya bunge, sasa kwanini mnalazimisha , kwani lazima awe raisi??
 
Uongozi wa nchi kama uraisi hatuwezi kumpa mtu ambae tuna mashaka nae mwakyembe aliweza kuweka ushahidi wote tena mbele ya bunge, sasa kwanini mnalazimisha , kwani lazima awe raisi??
Mkuu Mwakyembe hakuthibitisha kuwa Lowasa alifanya vile ila alithibitisha kumrfanyika ufisadi serkalini..

Akiwa kama Kiongozi wa serkali LOWASA ilibidi Ajiuzuru ili kulinda Heshima ya Rais Kikwete..

Ni kama Ilivyokuwa kwa Spika Ndugai..
Spka hakuwa na kosa kusema vile ila aliamua kujiuzuri ili kulinda Heshima ya SA100..

Tatizo letu wabongo hatujawahi.kujua Somo la siasa kuhusu Accountability na Responsibility pia
 
Ninachojua hapa Iringa Nyerere alimleta kijana wake Kachero mbobezi Dr Hassy Kitine agombee ubunge tukamkataa mbele yake na hakufanya lolote

Tukamchagua Mkemia Mwakibasa wa NCCR mageuzi
Kule Mbulu walimkataa mgombea wa Nyerere na kumchagua mgombea binafsi. Hata hiyo 1995 jina la Dr Slaa lilikatwa akahamia CHADEMA na kushinda. Hayati Mwalimu alikuwa na ishu za kiwaki sana linapokuja suala la uchaguzi.
 
Kumbe hii kasumba ya mwenye pesa kuonekana mwizi imeanza kututafuna miaka mingi sana, kama unaamini mtu ameiba, na ushahidi unao, mpeleke mahakamani, shida iko wapi?!

Lakini kumnyima haki zake kwa madai ya kihisia, kwasababu tu anaonekana ana pesa ni kumuonea. Lowassa amevumilia mengi toka kwenye jamii ya kishamba iliyokuwa nyuma ya fikra zake za mitikasi ya kujitafuta maishani.

- Jamii inayoona umaskini ni sifa, ndio maana utaskia fulani akijiita mimi mtoto wa maskini. Usipokuwa jasiri mtanzania unaweza kuacha kupambania maisha yako kwa kuogopa kuitwa mwizi!.

Ajabu kuanzia miaka hiyo mpaka miaka ya karibuni bado akawa anaitwa fisadi, kumbe tumerithi tabia ya kuhukumu kwa hisia bila udhahidi toka enzi za Nyerere, tukawa bado tunaishi nayo mpaka sasa, hili ni tatizo la jamii ya kitanzania - awe mpinzani au chama tawala.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Mwalimu alichukia wenye nacho. Alifikia kutamka kwamba mtu kuwa na nyumba za kukodisha ni unyonyaji. Kwa hoja hii akahalalisha kuchukua nyumba za watu.
 
Kumbe hii kasumba ya mwenye pesa kuonekana mwizi imeanza kututafuna miaka mingi sana, kama unaamini mtu ameiba, na ushahidi unao, mpeleke mahakamani, shida iko wapi?!

Lakini kumnyima haki zake kwa madai ya kihisia, kwasababu tu anaonekana ana pesa ni kumuonea. Lowassa amevumilia mengi toka kwenye jamii ya kishamba iliyokuwa nyuma ya fikra zake za mitikasi ya kujitafuta maishani.

- Jamii inayoona umaskini ni sifa, ndio maana utaskia fulani akijiita mimi mtoto wa maskini. Usipokuwa jasiri mtanzania unaweza kuacha kupambania maisha yako kwa kuogopa kuitwa mwizi!.

Ajabu kuanzia miaka hiyo mpaka miaka ya karibuni bado akawa anaitwa fisadi, kumbe tumerithi tabia ya kuhukumu kwa hisia bila udhahidi toka enzi za Nyerere, tukawa bado tunaishi nayo mpaka sasa, hili ni tatizo la jamii ya kitanzania - awe mpinzani au chama tawala.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Kama alikuwa na nguvu hizo mbona tunasikia alipenda sana Mzee Salim Ahmed Salim awe Rais baada yake, wenzie wakamkataa?
 
Wapo watakaoenda kuaga wakisema wanaaga fisadi. Hii ni mbaya sana. Kama ningekuwa ENL ningesema nikifa nizikwe nchi nitakayofia.
 
Mkuu Mwakyembe hakuthibitisha kuwa Lowasa alifanya vile ila alithibitisha kumrfanyika ufisadi serkalini..

Akiwa kama Kiongozi wa serkali LOWASA ilibidi Ajiuzuru ili kulinda Heshima ya Rais Kikwete..

Ni kama Ilivyokuwa kwa Spika Ndugai..
Spka hakuwa na kosa kusema vile ila aliamua kujiuzuri ili kulinda Heshima ya SA100..

Tatizo letu wabongo hatujawahi.kujua Somo la siasa kuhusu Accountability na Responsibility pia
Hata Ali Hassan Mwinyi alipojiuzulu haikuwa kwa sababu alihusika na vifo vya mahabusu.
 
Lowasa alikuwa mwizi. Alipokuwa Tanu Youth League alifukuzwa kazi wakati huo akiwa kijana mdogo kabisa. Alirudishwa kijiweni makao makuu ya Chama Dar. Baadaye kina Sokoine walimtetea Lowasa kwa Mwalimu Nyerere na aliposamehewa akarudishwa kundini. Lowasa alikuwa mwizi na fisadi toka enzi
Hii taarifa wakina Mbowe na Lissu wanayo ?

Kama wanayo wanatakiwa kumsafisha haraka iwezekanavyo.
 
Baba wa taifa ni cheo gani kikatiba?
😅😅🤣🤣
Katiba ikienda kinyume na maagizo ya Baba wa Taifa.. Baba wa Taifa hufuatwa 🤣🤣🤣

Sasa sijajua ulichosema mantiki yake ni nini?

Maana Naibu waziri Mkuu haipo kwenye katiba ila Baba wa Taifa aliianzisha na Sasa voolaaa ipo kwenye system ila haipo kwenye katiba 🤣
 
Maneno hayo aliyasema Hayati baba wa Taifa mwalimu Julius Kambarage Nyerere, alipoulizwa kwanini Kamati kuu wamekata jina la Lowasa licha ya kuwepo kwa Ushawishi mkubwa na kupendeka sana kwenye Chama hicho na Hasa kuwa na ushawishi mwingi kwa wananchi..

Kama tutakumbuka mwaka huo huo waliochukua Form walikuwa 17 na walikatwa na wakabaki 15 bora mpaka 5 bora kwa Style ya 17 -15-10-5-3-2-1..

Kama Tutakumbuka tatu Bora ya mwaka huo ilikuwa Msuya,Kikwete na Mkapa..

Na baada ya Lowassa kukatwa Jina Lake Kambi ya EL ilihamiaa kwa JK..
kwahyo kukawa na kambi tatu kambi ya JK ,Kambi ya Msuya na Kambi ya Mkapa..

Ambapo baadae mshindi alitangazwa Mkapa bila kutaja Kura walizopata Wagombea..
View attachment 2903529
We unajulikana ni dokta wa upumbavu. Upuuzwe
 
Alikuwa mwizi au Tajiri kuna vitu huwa hamvielewi..
acha kujitoa akili na hizi diversion tactics, unaleta mbanga za waisrael ukipinga uhalifu wao, wanakulabel antisemite. Hakuna mtu mwenye shida na utajili wake, bali wizi wa mali za umma na wakihojiwa, madalali wanufaika wa michongo yao kama wewe, mnatetea kuwa watu wanachuki na matajiri. Yule chenge watu wakihoji wizi wake, ndio inakua wanamchukia kisa yeye tajiri. Mtu anayemtetea fisadi kama wewe mnapaswa kuchukiwa na kuadhibiwa vikali.
 
We unajulikana ni dokta wa upumbavu. Upuuzwe
Ok sawa haina Tatizo mkuu lakini Tujikite kwenye Hoja Nafikiri Tutawza kujua nani mpumbavu nani mwerevu..
Kwani kuna sehemu mimi Nimemtukana mtu au kuvunjia heshima Mtu kilichoandikwa hakikutokea?

Hivi mbona kila kitu tunajifanya tunajua wakati tunaujinga mwingi?
 
Back
Top Bottom