Faana
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 38,657
- 44,759
Nabii, kwa harakaharaka hapa amempiga jiwe la gizani;Hakika anastahili heshima ya "baba wwa taifa"
- yule anayechambia katiba yetu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nabii, kwa harakaharaka hapa amempiga jiwe la gizani;Hakika anastahili heshima ya "baba wwa taifa"
Kuna watu wenye kujituma, wewe ni mmoja wao mkuu!Aha hii clip inahusu
-uhuru wa demokrasia
Ambapo katika Uhuru huo
mwalimu amegusia
uwepo wa
Uhuru wa wabunge Kama wajumbe waliotumwa na wanachi na wasizibwe midomo.
pia,mwalimu amegusia kuhusu,
viongozi wakuu (rais) asiingilie uhuru wa habari na maoni ya watu,
kwamba ikiwa akaona Jambo fulani halimpendezi Basi hakuna haja ya kutumia
dola (jeshi) kwa kutaka kuwafanya watu watii matakwa yake kwani jeshi c lake Bali Ni la wananchi
lingine mwalimu kagusia uwepo wa wanasiasa malaya.
.akisema hii Ni Aina ya wanasiasa ambayo huwa wananunulika na pia,uweza kufanya Mambo ya ajabu/aibu kwa ajili ya maslahi yao.
mwalimu kafika mbali na kusema kuwa,Hawa wanasiasa malaya,imefikia hatua na Kuona wenzao/wengineo nao ununulika na kuenda kuwashawishi..
lakini mwalimu katoa onyo na angalizo kwa wanasiasa malaya kuwa
Mwisho wao huwa Ni MBAYA SANA.
Ni hayo TU, kiongoz
Kwa bahati mbaya kwetu, viongozi wa aina yake hupatikana kwa nadra sana. Bahati yetu tulimpata huyo mapema, sijui tutampata mwingine wa aina yake miaka ipi!Mpaka mwisho wa maisha yangu,nitaendelea kumheshimu sana Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.
Does Mr Simon Mwaijage know what the word "tyranny" mean?By Ludovick Simon Mwijage.
In January 2005, the Catholic Church in Tanzania, announced that The Vatican had given approval that, Julius Kambarage Nyerere, the country's post-independence ruler-an autocratic one as it turned out-be called 'Servant of God'.
This approval paved the way for the Catholic Church in Tanzania to commence a formal investigation process, which, if found to be above reproach, would lead to the beatification of Mr Nyerere and ultimately to the official canonisation of this 'Servant of God' thereby declaring Julius Kambarage Nyerere a saint.
However, Ludovick Simon Mwijage, contends that proclaiming Nyerere a saint would not only make mockery of the ecclesiastical tradition that has for ages been a preserve for saintly people, but would also be dishonouring the memory of those who suffered and perished under Mr Nyerere's undoubted tyranny ( also, see THE DARK SIDE OF NYERERE'S LEGACY)
Alikuwa Hasikilizi zilikuwa zinamchomaHivi Magufuli anasikilizaga hotuba za Mwalimu nyerere kweli? No.
Angebadilika!
Sent using Jamii Forums mobile app
Does Mr Simon Mwaijage know what the word "tyranny" mean?
Is he the custodian and judge of the saintly qualities needed to qualify for sainthood?
From where, or who conferred to him the responsibilities of declaring who qualifies and who does not?
You probably deserved it, from the way you present yourself here!I know more Than mr Mwijage. I have and Still suffer because of this Laanatullahi
This is what your father Laanatullahi taught you.You probably deserved it, from the way you present yourself here!
Si useme.......after all nani kakudanganya unaweza kufanya kitu chochote, hata kama ni kibaya na usipate madhara yoyote yale? Jaribu kuvuka mstari hata leo. UtasimamishwaI know more Than mr Mwijage. I have and Still suffer because of this Laanatullahi
You're nuts!This is what your father Laanatullahi taught you.
By their fruits you Will recognise Them.
These are fruits.
This is your vocabulary taught by your father LaanatullahiYou're nuts!
Mzigo wa mwenzako kwako ni ganda la usufiSi useme.......after all nani kakudanganya unaweza kufanya kitu chochote, hata kama ni kibaya na usipate madhara yoyote yale? Jaribu kuvuka mstari hata leo. Utasimamishwa
Oooh, then you're a hoodlum!This is your vocabulary taught by your father Laanatullahi
Your fathers Laanatullahi Nyerere,s vocabularyOooh, then you're a hoodlum!
asanteAha hii clip inahusu
-uhuru wa demokrasia
Ambapo katika Uhuru huo
mwalimu amegusia
uwepo wa
Uhuru wa wabunge Kama wajumbe waliotumwa na wanachi na wasizibwe midomo.
pia,mwalimu amegusia kuhusu,
viongozi wakuu (rais) asiingilie uhuru wa habari na maoni ya watu,
kwamba ikiwa akaona Jambo fulani halimpendezi Basi hakuna haja ya kutumia
dola (jeshi) kwa kutaka kuwafanya watu watii matakwa yake kwani jeshi c lake Bali Ni la wananchi
lingine mwalimu kagusia uwepo wa wanasiasa malaya.
.akisema hii Ni Aina ya wanasiasa ambayo huwa wananunulika na pia,uweza kufanya Mambo ya ajabu/aibu kwa ajili ya maslahi yao.
mwalimu kafika mbali na kusema kuwa,Hawa wanasiasa malaya,imefikia hatua na Kuona wenzao/wengineo nao ununulika na kuenda kuwashawishi..
lakini mwalimu katoa onyo na angalizo kwa wanasiasa malaya kuwa
Mwisho wao huwa Ni MBAYA SANA.
Ni hayo TU, kiongoz
You still don't get it,? then you're an a*s hole!Your fathers Laanatullahi Nyerere,s vocabulary
Kuliko Alivyo babayako Laanatullahi Nyerere?You still don't get it,? then you're an a*s hole!
Dimwit!Kuliko Alivyo babayako Laanatullahi Nyerere?
Jina jengine hilo la Laanatullahi Nyerere,? Kakimbize mwenge wa Baba yako upate kukumurikia mchana Kama alivyowaambia vipofu nyinyiDimwit!
Imbecile.Jina jengine hilo la Laanatullahi Nyerere,? Kakimbize mwenge wa Baba yako upate kukumurikia mchana Kama alivyowaambia vipofu nyinyi