UmkhontoweSizwe
Platinum Member
- Dec 19, 2008
- 9,454
- 8,894
Kama wale waliouza chama chetu kwa mtu waliyetuambia kuwa ni fisadi papa, matokeo yake sasa wanatuulia chama chetu. Mungu anawaona.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaelewa dhana ya kununua ikoje? Nenda kwenye mnada wowote utatambua bidhaa zinanunulikaje?Lowasa, Sumaye na Nyalandu ni miongoni mwa wanasiasa wa aina hiyo. Wamenunulika na chadema.
Bila risiti?Unaelewa dhana ya kununua ikoje? Nenda kwenye mnada wowote utatambua bidhaa zinanunulikaje?
NENDA KWANZA WEWE KULE NDO ARUDI MH..Hahahaha babuuuuu.
Apumzike kwa amani huko uliko.
Natamani ningekuwa na uwezo wa kumrudisha lakini sina!
MBAYA UNAKUTA MH MMOJA WAZAZI AMETANGULIA HUJAWAHI SINGLE DAY KUMRUDISHA UMRUDISHE MZEE WA WATU LOH..ANZA WALIOTUTOKA KWANZA UPANDE HUOOHahahaha babuuuuu.
Apumzike kwa amani huko uliko.
Natamani ningekuwa na uwezo wa kumrudisha lakini sina!
Kuna watu walikuwa wamemtibua sana na alikuwa akiwapelekea Ujumbe sijui ni akina Kambona nilikuwa sijazaliwa!Raha ya milele umpe Mwl. Nyerere eeh bwana........Hilo neno Malaya Mwalimu sijui ame lisema mara ngapi ,inaelekea alichukia kweli kweli
Nyerere akikuchukia anakutukana wazi wazi.
Lumumba wewe unasema Lowassa amenunulika na CHADEMA,Lowasa, Sumaye na Nyalandu ni miongoni mwa wanasiasa wa aina hiyo. Wamenunulika na chadema.
Mkuu umesahau unabii mpya wa jiwe khs chama chao?Alishasema ccm itaanguka , huu unabii wake umeanza kutimia , sasa hivi tegemeo la ccm siyo wananchi tena , ni polisi .
Mwalimu iliiona kesho jana.
Aliiona Tanzania chini ya udikteta kutokana na Katiba mbaya. Aliwaona wanasiasa malaya wakati wa kipindi cha udikteta.
Wakati wa udikteta, Mwalimu aliwaona vijana waoga badala ya vijana jeuri, vijana wanaohoji.
Wakati wa udikteta, alikiona chama legelege, chama ambacho kiongozi wake anakuwa na nguvu kuliko chama. Chama kinachoshindwa kutoa mwongozo kwa watawala.
Mwalimu tunajua wewe ni mwanadamu, na yawezekana kuna sehemu wakati wa kuishi kwako ulimkosea Mungu au wanafamu wenzako, lakini tunakuamini sana katika dhamira yako kwa watanzania, dhamira ambayo haikuwa na hila, dhamira ambayo haikuwa na unafiki.
Baba yetu wa Mbinguni, kwa kuangalia dhanira yake njema, umjalie taji katika ufalme wako, nao waishio leo kwa tamaa ya madaraka hata kufikia kuiba kura, wenye kuwadhalilisha wenzi wao kwa nia ya kujikweza, wenye kujitangaza sana kufanya mema kwaajili ya kuutaka utukufu, wenye kutaka kuua au wale wauao kwa sababu hawataki maovu yao kutajwa, basi uwapatilize wao na vizazi vyao hadi watakapokurudia na kutambua kuwa wewe ni Bwana wa Haki na una mamlaka juu ya wale wakutiiao na wale wenye kulitaja jina lako kwa hadaa.
Unajitoa ufahamu magufuli Mbona huwa anakula karanga pamoja na wakala hoi
Alihofia kufuta historian yake akiwa hai maana angejaribu kuleta katiba mpyaKosa lake kubwa kabisa ni kutuachia katiba mbovu sana tena kwa maksudi kabisa!!
Kwa hilo ninauhakika anajilaumu sana huko aliko.
Na hilo litabaki kuwa kosa lake .Alipoingiza multi part system alitakiwa asimamie mwenyewe mabadiliko makubwa ya katiba, maana huyu ndo alikuwa kiboko ya CCM....
Wengine chuki zao wanazificha kwenye "msema kweli .................Nyerere akikuchukia anakutukana wazi wazi.
yaap nabii watu wa dini wameiteka tu ila kimsingi nabii ni yule yeyote awezae kutabibiri yajayo kwa uhakika kabisa.ukisikia manabii ndo huyu nyerere!hadi nimesisimka
yaap nabii watu wa dini wameiteka tu ila kimsingi nabii ni yule yeyote awezae kutabibiri yajayo kwa uhakika kabisa.
sio kwamba hawakumfikisha.?Hivi Mzee unamfahamu vizuri Mmakonde au unamsikia ?
Jinsi Mwalimu alivyokuwa, ilikuwa siyo kawaida kuona kitu kibaya kinafanyika halafu yeye anyamaze kimya tu na kukiacha kipite. Hakuwahi kuwa mtu wa hivyo hata siku moja na angeziona kampeni za mwaka 2000 nadhani Mmakonde angeisoma nambaa: Sema bahati mbaya Mzee wetu hakufika.