Julius Nyerere: Tunao wanasiasa wana tabia za kimalaya malaya, heshima yao inauzwa na ina bei (mercenary)

Kama wale waliouza chama chetu kwa mtu waliyetuambia kuwa ni fisadi papa, matokeo yake sasa wanatuulia chama chetu. Mungu anawaona.
 
Hahahaha babuuuuu.
Apumzike kwa amani huko uliko.
Natamani ningekuwa na uwezo wa kumrudisha lakini sina!
MBAYA UNAKUTA MH MMOJA WAZAZI AMETANGULIA HUJAWAHI SINGLE DAY KUMRUDISHA UMRUDISHE MZEE WA WATU LOH..ANZA WALIOTUTOKA KWANZA UPANDE HUOO
 
Hilo neno Malaya Mwalimu sijui ame lisema mara ngapi ,inaelekea alichukia kweli kweli
Kuna watu walikuwa wamemtibua sana na alikuwa akiwapelekea Ujumbe sijui ni akina Kambona nilikuwa sijazaliwa!Raha ya milele umpe Mwl. Nyerere eeh bwana........
 


Ubarikiwe sana Mkuu.
 
Kweli hayati nyerere ni baba Wa taifa!
Angekua hai sipati jinsi ambavyo angeshudia sio Malaya sasa Bali nimakahaba wa kisiasa walikubuhu ndani ya Chadema, na angeshudia pia mnunuzi mkuu makahaba hawa ni mwenyekiti Wa CCM na ndo rais Wa nchi, sasa sijui ni rais anayetengeneza taifa LA Malaya na makahaba!? Sipat picha
 
Kosa lake kubwa kabisa ni kutuachia katiba mbovu sana tena kwa maksudi kabisa!!
Kwa hilo ninauhakika anajilaumu sana huko aliko.
Alihofia kufuta historian yake akiwa hai maana angejaribu kuleta katiba mpya

Muungano fyekaa
Ujamaa fyekelea mbali
 
sio kwamba hawakumfikisha.?
 
Pamoja na mambo mengine Mwl nyerere alikua tactful na anayejua kucheza na tone mpaka sasa hivi hakuna rais ambaye ameweza kumfikia hata kidogo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…