Ana uzuri gani huyu. ...fake fake fakeee...kafuuupiiii km kigoda
Yaan huyu ndo mfupi hiviii atavaa high heels mpaka achoke,wengine tukivaa viatu virefu ni majinii,yaan hapo kavaa viatu lakini ni mfupi bado nikisimama nae hanifikii hata nikiwa na flat shoes,,,poyeeee kila mtu na kasoro zakee
Ila ana jicho zuriii teh teh
Ndo hilo shost la njanoo..watu na bahat zao
Yaan huyu ndo mfupi hiviii atavaa high heels mpaka achoke,wengine tukivaa viatu virefu ni majinii,yaan hapo kavaa viatu lakini ni mfupi bado nikisimama nae hanifikii hata nikiwa na flat shoes,,,poyeeee kila mtu na kasoro zakee
Ila ana jicho zuriii teh teh
Nywele hizo laki nane tu binamu, upo apo??
Uzuri hana kwakweli,angalia picha ya chini.Halafu kasimama kama ataanguka sasa hivi,mfupi km mchezaji wa Pepe Kale.
Aaaaah!!! Hizo picha za chin n noumah, si akafanye surgery china aweke miguu mirefu ya plastic, maana huo ufupi hapana kwa kweli
Yuko kwenye marekebisho ya blog.. nae sijui ataweka madole mekundu kama muke ya Muzungu
Nywele hizo laki nane tu binamu, upo apo??
Kwa uzuri hana hata robo uwadanganye wasomjua live mfupi sura ya kawaida sana alafu sio mweupe ivyo kama izo 360 zinavyomfanya
Hehe .jicho lipo...the rest hamna kitu...swali langu ile mimba ya mwanzo ilienda waapii mwenye kujua
Binamu inawezekana kufanya surgery miguu ikawa mirefu??mi hajanivutia miguu mifupi kama paja la bata.