Muuza Sura
JF-Expert Member
- Aug 1, 2011
- 1,985
- 1,352
amemuunguza nani?
sisi wa huku Namtumbo tunamuaminia sana Muuza Sura kwa kutoa credit za wakali wa town!!
alisema yule bilionea wa Instagram hamjui,kweli ikagundulika sio bilionea!!
Muuza Sura njoo uthibitishe
Na huyo rummy ni bilionea au?:smile-big: umenifrahisha...sina code zake jullie dolls zaidi ya kujua ni pumziko la rummy...ila wote ndo walewale mademu wa kimjini aliyekubali kutulia na mshkaji!
Yaan huyu ndo mfupi hiviii atavaa high heels mpaka achoke,wengine tukivaa viatu virefu ni majinii,yaan hapo kavaa viatu lakini ni mfupi bado nikisimama nae hanifikii hata nikiwa na flat shoes,,,poyeeee kila mtu na kasoro zakee
Ila ana jicho zuriii teh teh
Binamu inawezekana kufanya surgery miguu ikawa mirefu??mi hajanivutia miguu mifupi kama paja la bata.
Ana uzuri gani huyu. ...fake fake fakeee...kafuuupiiii km kigoda
Hana uzuri wowote jamani pamoja na mashauzi yote hayo...hampati lulu hata robo japo kistuli mwenzie...
Ila anamdhalilisha babake kwa umalaya...kamesoma mpk form ngapI haka...ameshindwa kukaendeleza
Nywele hizo laki nane tu binamu, upo apo??
Hana uzuri wowote jamani pamoja na mashauzi yote hayo...hampati lulu hata robo japo kistuli mwenzie...
Yaani wewe uko kama mimi...napenda hills jamani lakini urefu unaniponza nikivaa nakua kama jini yaani watu wananishangaa hadi naona aibu...
Hiyo laki nane ndo mshahar wa warumi mwaka mzima
Hata sijui...nasikia hapendi kuitwa jina la baba yake...hataki ajulikane kama ni mwanae
Mwaka mzima? Binamu usingeishi mjini!
Halafu binamu mi huyu dada bado sijamjua.....ni nani hapo town?
Hehe .jicho lipo...the rest hamna kitu...swali langu ile mimba ya mwanzo ilienda waapii mwenye kujua
Ungekuwa unagawika ningekuomba aiseee,
Mbona huwa anampost insta baba yake....tusingemjua km ni dingi
Ile mimba ya safari ile aliipeleka wapiiii.?? Tunashangaa tu iliyeyuka na siku zilifika za kujifungua..kwanza ilikua mimba ya nani
inasemekana aliichomoa ilikuwa ya huyohuyo bwana ake
Mimba kubwa ile ya kujufungua atoe?? Inawezekana mtoto alifariki ....maana mpk siku anaenda jifungua alipost insta....tukashangaa ziiiiii