Muuza Sura
JF-Expert Member
- Aug 1, 2011
- 1,985
- 1,352
amemuunguza nani?
sisi wa huku Namtumbo tunamuaminia sana Muuza Sura kwa kutoa credit za wakali wa town!!
alisema yule bilionea wa Instagram hamjui,kweli ikagundulika sio bilionea!!
Muuza Sura njoo uthibitishe
:smile-big: umenifrahisha...sina code zake jullie dolls zaidi ya kujua ni pumziko la rummy...ila wote ndo walewale mademu wa kimjini aliyekubali kutulia na mshkaji!