Mngoni asiyepiga gambe
Senior Member
- May 4, 2017
- 151
- 318
Kuna tatizo kubwa kwa wachezaji wetu wa kibongo unapowatoa kwenye pitch ukiwaleta kwenye ulimwengu mwingine msikilize Che Malone akiwa anauongelea mpira kisha msikilize Tshabalala ambaye ndo kaptain wetu utagundua tofauti na ndo maana wengi hawana mvuto nje ya uwanja, hii huenda ikachangiwa na.
1.wachezaj wetu kukosa exposure mfano ametokea kakakuona fc ya mbagala ghafla kaibukia Simba na kamalizia soka hapo
2. Elimu ya kawaida (hata lugha wengi huwa ni tatizo sana)
3.Elimu na malezi ya kisasa ya kisoka
1.wachezaj wetu kukosa exposure mfano ametokea kakakuona fc ya mbagala ghafla kaibukia Simba na kamalizia soka hapo
2. Elimu ya kawaida (hata lugha wengi huwa ni tatizo sana)
3.Elimu na malezi ya kisasa ya kisoka