Juma Duni "Babu Duni" Mwenyekiti, ACT Wazalendo; ACT Tumefarijika Sana na Rais Samia Kubadili Sheria, Tunaomba Ratiba ya Utekelezaji

Juma Duni "Babu Duni" Mwenyekiti, ACT Wazalendo; ACT Tumefarijika Sana na Rais Samia Kubadili Sheria, Tunaomba Ratiba ya Utekelezaji


Nasema hivyo kwasababu, takribani Miaka 10 sasa upo very affirmative na siasa za Zitto,

Turudi kwenye hoja yako ya Strategic movements za ACT.

1. Ukiacha notable members wa CDM wanayoipa nguvu ya kitaifa waliojiunga nayo, na wale wengine waliovurumishwa CUF imeeahi recruit new member mwaka gani, for over ten yrs to date.

2 . Kwenye makala yako, Kuna member una mquote kwamba ACT inaweza recruit young blood kama CDM , unaweza onyesha progress yeyote to date.

3. Kuna hoja kwamba watu wakikataliwa na vyama vingine wangejiunga nayo 2015, Kuna lililotokea?

4. Kuna any significant political rally ZZK amewahi fanya Tanzania Bara toka ACT ianzishwe? Hata kwa try and error.

5.ZZK anajiunga na watesi wake kupalilia mbegu ambayo amekuwa akiandamwa nayo muda mrefu, kwanini habadiliki na wala hajifunzi?...

ACT can become better and do better, ila trust kwa wananchi ni ndogo mno... unless otherwise... time will tell.
 
Hivi ACT Wazalendo si wanataka mamlaka kamili? Wameacha suala la Katiba na sasa ni sheria

Hawa watu ni wanafiki sana, kisa tu Rais ni Mzanzibar. Akija mwingine utasikia kelele za Katiba mpya na mamlaka kamili.

Huwezi kupata mamlaka kamili kwa katiba ya 1977 ni mbovu sana haiwezi kurepewa hata na Wajapan.

JokaKuu
Waliotaka mamlaka kamili ni CUF. ACT Wazalendo ni chama pragmatic kina practice the politics of Pragmatism kwa kutaka na kufanya only what is possible!. Wale wengine bado wana practice utopian politics!
P
 
Waliotaka mamlaka kamili ni CUF. ACT Wazalendo ni chama pragmatic kina practice the politics of Pragmatism kwa kutaka na kufanya only what is possible!. Wale wengine bado wana practice utopian politics!
P
Pascal nitajie kiongozi mmoja tu wa ACT ambaye hakuwahi kuwa CUF
 
Pascal Mayalla kuna swali langu kwanza, wapi Zanzibar wanaonewa?

Pili, kuna Ujinga halafu kuna upumbavu. Ujinga unaweza kutokana na kutoelewa au kufahamu jambo.
Upumbavu ni hali ya kutotaka kuelewa hata pale anapoeleweshwa. ACT ni Wapumbavu

Hii move ya ACT ina sura mbili, kwanza, kuna unafiki kwasababu ya Rais Mzanzibar na mambo mengine kama ni CCM wangesema 'mwenzetu' hawa ACT nao wanamuona SSH 'Mwenzetu' in so many ways.

Pili, kuna upumbavu kwasababu anayetuhumiwa kuharibu mchakato ni CCM. ACT wana matumaini sheria zitakazoandikwa na CCM zitakuwa na haki. Ni upumbavu kudhani kwamba Bunge la CCM lililopitisha Mkataba wa Bandari na kusema ni barua za mapenzi linaweza kupitisha sheria zitakazoisadia ACT.

Nasimama kuhesabiwa i, kwa nguvu ya ACT Wazanzibar kule Zanzibar laiti wasingeingia Usaliti wa kuingia katika Tume ya Mkandara , laiti wasingekuwa wasaliti wa kudai katiba, Katiba ingepatikana

ACT Wazanzibar na vyama mamluki ndivyo vinatoa nafasi ya kuchezewa mchakato

Akina Zitto hawaulizi maoni ya tume ya Warioba yalikuwa na makosa gani kiasi cha kuwa replaced na ya Mkandala? Tume ya Mkandala imeanzishwa na sheria gani ya nchi?
Kuna takwimu gani za ziada kuliko zile za Tume ya Warioba ?

Kwa hili sitamumunya maneno, Zitto na ACT Wazanzibar wameusaliti uma kwa unafiki mkubwa.
 
ZZK, Abdul Nondo, just to mention but two!.
P
Hivi Zitto na Nondo wana nguvu gani ndani ya ACT Wazanzibar.
Hawa waliuza chama sasa hivi ni wasikilizaji tu.

Si unaona Zitto alivyobadilika hata masuala ya Kitaifa humsikii tena akijua hawezi kukinzana na wenye chama akina Duni, OMO na Jussa. Zitto na Nondo ni katika kukamilisha utaratibu wa uongozi lakini hawana chama tena
 
Kelele zote za Wazanzibari ni kuona mtu wao anatawala Bara, huyu mama akitoka wanarud square 1.

Hawaminiki.
Hilo tu, mamlaka kamili ni kuona mzanzibar anatawala Bara

Siku hizi huwasikii tena wakidai katiba. In fact, wanampa SSH maua yake kuliko CCM Maskani Kisonge

SSH anakubalika sana na ACT kuliko anavyokubaliwa na CCM Kisiwandui.

ACT Wanadhani ni Wazanzibar Halisi, kuna jambo usione kisonge wapo kimya
 
FF OMO alikuwa CUF undercover. Katika hotuba zake Jussa aliwahi kutoa ushahidi kwamba katika watu waliokuwa wanawasiliana na Maalim Seif kwa karibu sana ni OMO. Kwamba, Jussa alikuwa anatumwa na Maalim Kwa OMO.
Hayo kayasema Jussa
 
FF OMO alikuwa CUF undercover. Katika hotuba zake Jussa aliwahi kutoa ushahidi kwamba katika watu waliokuwa wanawasiliana na Maalim Seif kwa karibu sana ni OMO. Kwamba, Jussa alikuwa anatumwa na Maalim Kwa OMO.
Hayo kayasema Jussa
Maalim Seif alikuwa akiheshimika sana na viongozi wote. Akiongea na wote, hata Magufuli alipokutana nae alimpenda.

Mimi ni CCM lakini nilikuwa napenda kumsikiliza hotuba zake Maalim Sefu, zina make sense.
 
Maalim Seif alikuwa akiheshimika sana na viongozi wote. Akiongea na wote, hata Magufuli alipokutana nae alimpenda.

Mimi ni CCM lakini nilikuwa napenda kumsikiliza hotuba zake Maalim Sefu, zina make sense.
Sina tatizo na Maalim na mwenyezi amrehem

Ninachosema ni kuwa OMO alikuwa CUF (undercover) ndiyo maana Maalim alikuwa na information nyingi sana za serikali. Kasema Jussa kwamba alikuwa ' link' kati ya wawili hao.

Hata OMO kuchaguliwa kiongozi wa ACT ni pamoja na kuwa 'double agent' lakini CCM hawakujua.

Hoja hapa ni kwamba suala la Katiba wanalotaka Wazanzibar linapoteza nguvu kwasababu wameamua kushirikiana na CCM. FF unajua wenzetu pale Dodoma ni ' Tumbo street' not public interest sasa ACT wanategemea nini?

Yaani unamkabidhi Fisi Bucha na kwavile una imani naye, unaenda kulala. Akina Duni hawakupaswa kufanya kosa la kiufundi kama hilo, lakini hii ni ' unforced error' in fact it 's not an error rather a blunder so as to speak

Kinachohitajika ni Katiba siyo viraka. Hii ya 1977 haifai hata kwa bahati mbaya

CCM kupata msaada wa ACT Wazanzibar ni faraja sana kwao.
 
ACT hawako strategic ni kwamba wako ndani ya mbeleko. ACT sio chama kinachoweza kushawishi wananchi kukichagua. Wao walibebwa baada ya ndoa ya CUF na Maalim Seif kufa. Na Zanzibar ujue licha ya maalim kuwashawishi waende na ACT lakini bado hawavutiki nacho. Kinacho ifanya ACT wazalendo iwepo hapo ni pesa ya Ruzuku kutokana na wabunge wawakilishi aliopewa maalim Seif zanzibar alipokuwa hai.
Wazazibari wanajua wanachokitafuata ni serikali isiyo kuwa chini ya CCM. Hawautaki muungano, kuthibitisha hilo tizama, siasa zao huwa hazivuki bahari, licha ya takwa la kisheria chama cha siasa kiwe Tanganyika na Zanzibar wao hawatambui kwanini wawepo Tanganyika, wakati wao madai yao ni zanzibar. Ndio maana unaona wana dandia vyama, hawataki kuanzisha vyao. Jiulize kwanini Maalim Seif hakuanzisha chama baada ya kukumbwa na dhoruba la CUF msajili na serikali? Badala yake alitafuata pa kudandia akiweka msisitizo Zanzibar tu.
Tukirudi kwa hawa ACT, wao huku bara hawawezi kupumua. hata Zitto kigoma hawezi kushinda licha ya kuwa ni kwao. hata mikutano ya ACT haina mvuto sasa strattegies zao ziko wapi?
Ningekubaliana na wewe kama ungesema hawataki kumuudhi CCM kwa sababu ndiye mlezi wa ACT tangu kuanzishwa na ndiye aliyewapa shavu Zanzibar. Licha ya kuwa na Ruzuku kwa miaka mitano, wakiitisha mkutano tandika pia hawapati wananchi, strategy zao ziko wapi? hawa ni MAMLUKI na bahati nzuri watanzania waliisha wafahamu. Hakuna strategy yoyote ACT, wanabebwa na CCM.
 
Laiti ungemsikiliza Babu Duni, ungemsikia faraja yao ni kwenye lipi.
P
Nimesoma summary yako na nimemsikiliza. Faraja yake (kama ulivyosema) inatokana hasa na hizo sheria ambazo amesema "zitaletwa Novemba". Swali liko pale pale, anafarijika vipi kwa ahadi tu kabla hajakiona kitakacholetwa?

Amandla...
 
Hizo siasa za kumsifu rais ni siasa za kujipendekeza na kishamba ile mbaya. Lakini kwa sasa imekuwa fashion kujipendekeza kwa viongozi, matokeo yake viongozi wamejiona kama watu special kwa maisha ya wananchi, na wala sio kutekeleza wajibu. Hii ndio inayopelekea viongozi kupora chaguzi za nchi,maana wanajua wakipata madaraka wataishia kuabudiwa.

Nikishasikia mtu anamsifia rais ili kupata haki yake, naishia kumdharau, hasa ukizingatia viongozi hawa wako madarakani kwa uchaguzi wa kishenzi mno.
 
Nimesoma summary yako na nimemsikiliza. Faraja yake (kama ulivyosema) inatokana hasa na hizo sheria ambazo amesema "zitaletwa Novemba". Swali liko pale pale, anafarijika vipi kwa ahadi tu kabla hajakiona kitakacholetwa?

Amandla...

Mkuu FM

Watanzania wana tatizo la kumbu kumbu. Hivi si tunakumbuka ililetwa sheria ya 'Usalama wa Taifa' watu wakashangilia kwamba inaenda kuifanya idara pekee na isiyo na majukumu ya ki polisi.

Guess what, sheria ndiyo iliongeza makali kwamba sasa wanaua na hakuna wa kuwauliza

Hizo sheria hawajaziona wanafarajika. Ikiwa sheria itasema usimseme mama ukimsema chama kinafutwa watasema nini! maana Bunge ni la CCM na wale ACT waliomo hawana uwezo wa kujenga hoja ni maboya.

CCM haiwezi kutengeneza sheria ya kuleta usawa. Kitendo cha kuzunguka zunguka kuhusu katiba ni somo tosha

Nilidhani ACT wa mamlaka kamili wangehoji haya
1. Maoni ya Tume ya Warioba iliyopita nchi nzima na kutumia mamilioni yanakasoro gani?
2. Ni maoni au mamlaka gani amepewa Rais SSH ya kuamua krekebisha katiba na si kuandika au vinginevyo.
3. SSH alikuwa Makamu M/Kiti wa Bunge la Katiba, kipi alikiona hakifai hadi kuunda Tume ya Mkandala
4. Kikosi kazi kimeanzishwa kwa mamlaka gani ya kurekebisha au kutunga sheria?
5. Katiba ya Zanzibar ya 2010 kama alivyosema mjumbe mmoja ilitolewa elimu lini na wapi
n.k.

Kinyume chake ACT wanafurahia wasichokijua, wakirudi Mchambawima wana mikutano ya kudai mamlaka kamili.

Wanataka mamlaka kamili kupitia katiba ya 1977, hawa watu hawana akili na ni wanafiki sana.
 
Sina tatizo na Maalim na mwenyezi amrehem

Ninachosema ni kuwa OMO alikuwa CUF (undercover) ndiyo maana Maalim alikuwa na information nyingi sana za serikali. Kasema Jussa kwamba alikuwa ' link' kati ya wawili hao.

Hata OMO kuchaguliwa kiongozi wa ACT ni pamoja na kuwa 'double agent' lakini CCM hawakujua.

Hoja hapa ni kwamba suala la Katiba wanalotaka Wazanzibar linapoteza nguvu kwasababu wameamua kushirikiana na CCM. FF unajua wenzetu pale Dodoma ni ' Tumbo street' not public interest sasa ACT wanategemea nini?

Yaani unamkabidhi Fisi Bucha na kwavile una imani naye, unaenda kulala. Akina Duni hawakupaswa kufanya kosa la kiufundi kama hilo, lakini hii ni ' unforced error' in fact it 's not an error rather a blunder so as to speak

Kinachohitajika ni Katiba siyo viraka. Hii ya 1977 haifai hata kwa bahati mbaya

CCM kupata msaada wa ACT Wazanzibar ni faraja sana kwao.
Hayo ni mawazo yako na sina sababu ya kukupinga. Kama ni kusemwa mapandikizi, wengi pia tunaamini wanasiasa waliyowahi kushika nyadhifa kubwa serikalini ni mapindikizi kwa sababu tunaamini "once a system always a system" walikula viapo hatujawaona wakifuta viapo vyao, kama kuna uwezekano huo wa kufuta kiapo, sijawahi kusikia.

Naamini OMO alikuwa ni mwanasheria mkuu wa Zanzibar na alikataa kupiga kura za siri bunge la katiba 2014 ndicho kilimsimamisha kazi.

Mengine ni porojo zako kama zingine za JF.
 
Back
Top Bottom