Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Ni kweli kabisa, soma hii ya Profesa Tibaijuka
Hii ni Taarifa ya kikakamavu aliyoitoa alipohojiwa na MwanaHalisi Digital , ikiwa ni sehemu ya Maombolezo ya Kifo cha Edward Lowassa aliyekuwa Mgombea Urais wa UKAWA
=======
Kwenye jambo hili mengi yamesemwa ikiwemo ofisi moja iliyokuwa Masaki ikiongozwa na watu watatu (majina yanahifadhiwa kwa muda hadi tuzike) , iliyotuhumiwa kuchakachua matokeo halali ya uchaguzi na kuweka matokeo ya mchongo ili kumbeba Mgombea wa ccm aliyedaiwa kuangukia pua
Mfumo wenyewe ndio wale wa Masaki !Mfumo hauruhusu kutangaza mshindi wa uraisi kutoka Upinzani - Tibaijuka
Samia alishinda uchaguzi uliofanyika wapi ?Shida nini nyumbu tena? Bado hamumtambui samia kuwa nu rais?
Unajua kua Rais au kiongozi yoyote kufia madarakani ni laana,mikosi na nuksi.Hayo hayana uthibitisho ni chai kama zilivyo Chai nyingine, ila hakika ni kuwa kupitia uchaguzi wa 2015 tulishuhudia kupata mmojawapo wa Rais Bora zaidi kuwahi kumpata kwenye historia ya nchi hii tokea uhuru na atasalia kudumu hivyo kwa vizazi vingi vijavyo
Napenda kukufahamisha kua Rais au kiongozi Mkuu wa nchi asie Mfalme kufia madarakani ni udhaifu,ni laana,mikosi na nuksi.ni kwamba huyo hakukubaliwa na Mungu.Mfumo wenyewe ndio wale wa Masaki !
Hili mbona lipo wazi sana?
Ila swahiba wake ana roho ngumu sana, unawezaje kumfanyia ubaya rafiki yako, aliyekusaidia ukatimiza ndoto zako ila wewe unapambana kukatisha zake?
Muongo tu huyu. Ndio jadi yake uongo
Hii ni Taarifa ya kikakamavu aliyoitoa alipohojiwa na MwanaHalisi Digital , ikiwa ni sehemu ya Maombolezo ya Kifo cha Edward Lowassa aliyekuwa Mgombea Urais wa UKAWA
=======
Kwenye jambo hili mengi yamesemwa ikiwemo ofisi moja iliyokuwa Masaki ikiongozwa na watu watatu (majina yanahifadhiwa kwa muda hadi tuzike) , iliyotuhumiwa kuchakachua matokeo halali ya uchaguzi na kuweka matokeo ya mchongo ili kumbeba Mgombea wa ccm aliyedaiwa kuangukia pua
Ogopa sana watu wa pwani, waswahili, hawaaminikiLabda kwakuwa hawakukutana barabarani basi walishayamaliza. Ila alimfanyia mwenzake ubaya na usaliti mkubwa sana!
Umemkata kwenye chama chako, bado amepambana akaaminiwa kwenye chama kingine,bado unaamua kuzizima ndoto zake na wewe umeshatimiza zako.
Nyuma ya kile kicheko kuna roho ngumu sana!
huyu mnafiq hana jipya kujitia huruma kipindi cha msiba wakati alitudharau, fedha zetu kala anaita fedha ya mboga
Chama Cha Mambusi hakijawahi kushinda uchaguzi tangu 2010 hadi sasaMfumo hauruhusu kutangaza mshindi wa uraisi kutoka Upinzani - Tibaijuka
Yule jamaa ni mnafiq sana na tabasamu lake la kichawi,ndiyo maana hadi leo anaanguka anguka kama kuku mwenye kideri
Hili mbona lipo wazi sana?
Ila swahiba wake ana roho ngumu sana, unawezaje kumfanyia ubaya rafiki yako, aliyekusaidia ukatimiza ndoto zako ila wewe unapambana kukatisha zake?
Yusuf Makamba kasema wazuri hawafi yaani JK,Kinana na Hangaya hao hawataonja mauti kwa mujibu wa Yusuf.Kila nafsi itaonja mauti, ni suala la muda tu.