Juma Duni Haji adai yeye na Lowassa walishinda Urais 2015

Juma Duni Haji adai yeye na Lowassa walishinda Urais 2015


Hii ni Taarifa ya kikakamavu aliyoitoa alipohojiwa na MwanaHalisi Digital , ikiwa ni sehemu ya Maombolezo ya Kifo cha Edward Lowassa aliyekuwa Mgombea Urais wa UKAWA

=======
Kwenye jambo hili mengi yamesemwa ikiwemo ofisi moja iliyokuwa Masaki ikiongozwa na watu watatu (majina yanahifadhiwa kwa muda hadi tuzike) , iliyotuhumiwa kuchakachua matokeo halali ya uchaguzi na kuweka matokeo ya mchongo ili kumbeba Mgombea wa ccm aliyedaiwa kuangukia pua

Ni kweli kabisa, soma hii ya Profesa Tibaijuka

IMG-20240211-WA0085.jpg
 
Hayo hayana uthibitisho ni chai kama zilivyo Chai nyingine, ila hakika ni kuwa kupitia uchaguzi wa 2015 tulishuhudia kupata mmojawapo wa Rais Bora zaidi kuwahi kumpata kwenye historia ya nchi hii tokea uhuru na atasalia kudumu hivyo kwa vizazi vingi vijavyo
Unajua kua Rais au kiongozi yoyote kufia madarakani ni laana,mikosi na nuksi.
Yaani maana yake huyo hakukubaliwa na Mungu.
Tena kwa kifo cha aibu kama hivyo.
 
Mfumo wenyewe ndio wale wa Masaki !
Napenda kukufahamisha kua Rais au kiongozi Mkuu wa nchi asie Mfalme kufia madarakani ni udhaifu,ni laana,mikosi na nuksi.ni kwamba huyo hakukubaliwa na Mungu.
Mungu akitaka umfanyie kazi yake atakuweka uishi ukiwa kiongozi.

R.I.P lowasa waliokuibia waliondolewa na Mungu.
 

Hili mbona lipo wazi sana?

Ila swahiba wake ana roho ngumu sana, unawezaje kumfanyia ubaya rafiki yako, aliyekusaidia ukatimiza ndoto zako ila wewe unapambana kukatisha zake?

Mh. Lowassa au mimi namwita Role Model wa maisha ya wengi, maisha yake yamenifunza kamwe usije muamini au mtegemea rafiki, binadamu anabadilika muda wowote, kuwa rafiki na nafsi yako mwenyewe na hili mimi ndio nguzo ya maisha yangu, sina rafiki zaidi ya familia yangu, dunia hii rafiki wako wa kweli ni familia yako..!!
 

Hii ni Taarifa ya kikakamavu aliyoitoa alipohojiwa na MwanaHalisi Digital , ikiwa ni sehemu ya Maombolezo ya Kifo cha Edward Lowassa aliyekuwa Mgombea Urais wa UKAWA

=======
Kwenye jambo hili mengi yamesemwa ikiwemo ofisi moja iliyokuwa Masaki ikiongozwa na watu watatu (majina yanahifadhiwa kwa muda hadi tuzike) , iliyotuhumiwa kuchakachua matokeo halali ya uchaguzi na kuweka matokeo ya mchongo ili kumbeba Mgombea wa ccm aliyedaiwa kuangukia pua

Muongo tu huyu. Ndio jadi yake uongo
 
Labda kwakuwa hawakukutana barabarani basi walishayamaliza. Ila alimfanyia mwenzake ubaya na usaliti mkubwa sana!

Umemkata kwenye chama chako, bado amepambana akaaminiwa kwenye chama kingine,bado unaamua kuzizima ndoto zake na wewe umeshatimiza zako.

Nyuma ya kile kicheko kuna roho ngumu sana!
Ogopa sana watu wa pwani, waswahili, hawaaminiki
 
nilicho gundua siasa pia siasa ni upumbavu kama dini

watu wana uchungu wa kibwege bwege

hadi unashangaa
 

Hili mbona lipo wazi sana?

Ila swahiba wake ana roho ngumu sana, unawezaje kumfanyia ubaya rafiki yako, aliyekusaidia ukatimiza ndoto zako ila wewe unapambana kukatisha zake?
Yule jamaa ni mnafiq sana na tabasamu lake la kichawi,ndiyo maana hadi leo anaanguka anguka kama kuku mwenye kideri
 
Back
Top Bottom