sinajinasasa
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 2,988
- 4,152
Kweli mwanangu uko sahihi mia mia!!Hiyo benz aliyonunua Jux ukilinganisha na rolls royce ya diamond mbona ni ya zamani sana na hadhi ya chini ? Kwa wanaojua gari za mjerumani cc Extrovert RRONDO Mnisahihishe kama nakosea kwenye hiyo dashboard hapo chini[emoji116]View attachment 1864990
Hiyo sio E-Class W212 facelift ya 2013 - 2016 ?
Sio kumi 10 tu kuwa na heshima mzee...angenunua 10 halafu chenji inabaki , hiyo chenji anaenda kuzipiga rims kali zaidi, na plate number ile custom anaita "Diamond 1", "Diamond 2", "Diamond 3"....mpaka "Diamond 10" halafu chenji inabaki anaenda kuzipiga hata seat cover kali halafu chenji inayobaki anazipeleka "Service B" na bado chenji inabaki atajua mwenyewe aifanyie nini 🤣Angeweza kununua benz 10 au zaidi kwa cost ya rolce royce 1 pamoja na kodi!
Heheheheh watu wanafanya mchezo na 1.5BSio kumi 10 tu kuwa na heshima mzee...angenunua 10 halafu chenji inabaki , hiyo chenji anaenda kuzipiga rims kali zaidi, na plate number ile custom anaita "Diamond 1", "Diamond 2", "Diamond 3"....mpaka "Diamond 10" halafu chenji inabaki anaenda kuzipiga hata seat cover kali halafu chenji inayobaki anazipeleka "Service B" na bado chenji inabaki atajua mwenyewe aifanyie nini 🤣
Sio mchezo aiseeHeheheheh watu wanafanya mchezo na 1.5B
Hii ni taxi hata palestine mkuu nilizionaHaiwezekani ikawa ya 2018, hiyo ni kama wamepiga modification ya show ya mbele kidogo nikioangalia dashboard yake na hata body ya nyuma ni E class ambayo ipo based kwenye W212.
Ingekuwa ya 2013 (W213) show yake ya nyuma ingekuwa ipo curved zaidi,hasa upande wa taa hiyo ni E class ya 2018 [emoji116]
View attachment 1865015
Hii ni E -class ya Jux (ipo boxed zaidi sio curved)[emoji116]
View attachment 1865021
Pia hiyo system yake kwenye Dashboard (Comand) ya jux ina knob peke yake kwa ajili ya kunavigate menu za systemView attachment 1865023
E- Class ya 2018 (W213) ina knob na touchpadView attachment 1865025
Na interior ya W213 ina ambient light angepiga picha lazima tungeiona. In short dashboard ya
W212 ni hii[emoji116]
View attachment 1865029
Ya w213 ni hii View attachment 1865030
Hii ndinga ya jux inatumika sana kama taxi ujerumani kuna kipindi niliwahi kukaa huko kwa mjerumani basi nikiita taxi na app yao kama Uber ndio nilikuwa napanda, angeinunua Diamond ingepondwa sana, ila kwa kuwa ni Jux ndio inapaishwa zaidi[emoji1787]View attachment 1865031
RR ya mondi ya mwaka gani?ila kuwa makini mkuu kwenye nyuzi hizi za mondi 😀Hii ni ya 2016 mzee baba AMG
2021RR ya mondi ya mwaka gani?ila kuwa makini mkuu kwenye nyuzi hizi za mondi 😀
Au ili tuweke sawa ni kwamba alikua anaspend pesa nyingi wakati muziki wake ukawa haurudishi faida watu walikua wamehama aina ya muziki anaouweza.Mc Hammer alifilisika sababu ya gambling na starehe zilizo pitiliza.
Kamari za Las Vegas noma sana mzee.
Hatari kaka,vijana wana pesa kama njugu2021
$?Hela ndefu inaweza karibia about a 100G
Mc hammer kufulia kulitokana na muziki anaoufanya kupitwa na wakati na yeye akashindwa kufit katika genre mpya ya gangsta rap.
Tyson ni matokeo ya promoter Don King.
😁😁😁dahJuZi nilikuta mjadala YouTube. Comments huko, wakenya wanasema msanii tajiri east Africa Ni Bobi wine akifatiwa Na chameleon then akothee
Tunaomba utuombe radhi wanaume wote kwa udhalilishaji uliotufanyia.Mtoa mada hapendi maendeleo ya Mond. His post (s) says it all.
1. Ulimsifia Jux kwamba kamzidi Mond kimaisha
2. Uwoya kapanda uber RR
3. Hii post
Mwanaume weee? Yatakuja yakushinde mchana kweupe.
🤣🤣Haiwezekani ikawa ya 2018, hiyo ni kama wamepiga modification ya show ya mbele kidogo nikioangalia dashboard yake na hata body ya nyuma ni E class ambayo ipo based kwenye W212.
Ingekuwa ya 2013 (W213) show yake ya nyuma ingekuwa ipo curved zaidi,hasa upande wa taa hiyo ni E class ya 2018 👇
View attachment 1865015
Hii ni E -class ya Jux (ipo boxed zaidi sio curved)👇
View attachment 1865021
Pia hiyo system yake kwenye Dashboard (Comand) ya jux ina knob peke yake kwa ajili ya kunavigate menu za systemView attachment 1865023
E- Class ya 2018 (W213) ina knob na touchpadView attachment 1865025
Na interior ya W213 ina ambient light angepiga picha lazima tungeiona. In short dashboard ya
W212 ni hii👇
View attachment 1865029
Ya w213 ni hii View attachment 1865030
Hii ndinga ya jux inatumika sana kama taxi ujerumani kuna kipindi niliwahi kukaa huko kwa mjerumani basi nikiita taxi na app yao kama Uber ndio nilikuwa napanda, angeinunua Diamond ingepondwa sana, ila kwa kuwa ni Jux ndio inapaishwa zaidi🤣View attachment 1865031
🤣🤣😁😁😁dah
$28000-$35,000
Mfumo wa kuzitafuta uko next levels ....Hatari kaka,vijana wana pesa kama njugu