Tatizo ni wabongo sasa kwani wanataka tuwe na wasanii 10 wenye mafanikio basi......... Roho zetu ni nyeusi sanaJux anaishi life lake ila watu ndo wanataka kutengeneza hiyo league. Kwa upande wengu natamani tuwe hata na wasanii 10 wenye mafanikio kama Diamond au zaidi yake ili game iajiri na kuwapa space watu wengi zaidi
Mtag extrovet ndio mambo yake haya...Dah kweli wabongo ni wavivu mno kujua vitu yaani hayo magari yote hakuna la 2021 na ni mitumba used,
1: Rolls-royce la mond ni used la 2018 na nimeongea na Rolls Royce hawana record ya mteja wa RR 2021 bongo na huyo hata siyo mteja wao kwani Rolls Royce ina waiting time ya at least miezi 3 na nusu tangu uweke order. Alafu ukitaka kujua tofauti ya 2021 na hilo la mond la 2018 angalia hizo grill
2: Hayo ma cadillac ya mondi yote ni used ya 2016 angalia tofauti ya cadillac escalade za 2021 na hiyo mitumba ya 2016
Yaani mondi ana take advantage sana ya undondocha wa wabongo kufanya research ndogo na ushamba wa wengi kwenye vitu vya gharama ndiyo maana akinunua anawajaza escalade 2021 zero kilomita mnajaa mazima kwa sababu ni washamba. Hayo magari yote ni used hana gari brand new kuanzia matoyota hayo hadi hilo bmw yote mitumba.View attachment 1865792View attachment 1865793View attachment 1865798View attachment 1865799View attachment 1865800
Anauza bangi na kuandika simuliziIla tyson kakaza mpaka leo kawa tajiri tena na nasikia mkewe ndio mpango mzima mpaka jamaa kurudi tena kwenye utajiri....
Asipoleta utasema jamaa muongo na anajimwambafy na akiileta utasema ndege feki, used au sio yake.Ndege ya Diamond iliishia wapi?
Siyo kila mtu anakosoa mondi kisa kamzidi kuna watoto wa mabosi wenu humu mondi kibaka tuuKuna tofauti kubwa kati ya kushabikia na kuwa realistic, humu kuna wanao comment kiushabi na kuna wanao comment kutokana na uhalisia wa situation iliyopo.
Nadhani hivi vitu huendana na upeo wa akili ya mtu, mtu mwenye akili timamu hawezi kulinganisha mafanikio ya Sadala na mwanamuziki yoyote hapa Tanzania kuanzia waliopo mpaka waliopita.
Jay z wakati hana hela alikua anavaa ma cheni hadi kwenye meno na alikua anataja magari ya kifahari kila verse na show off za kijinga ili watu wajue ana hela wakati hana hela.
Sasa hivi jay z ana hela huwezi kuona kavaa micheni wala hana show off za kijinga kwakuwa hana cha ku prove kuwa ana hela kila mtu anajua ana hela.
Ukiona mtu anatumia sana nguvu kushow kwamba ana hela ujue hana hela hizo ni maigizo tu.
Dah kweli wabongo ni wavivu mno kujua vitu yaani hayo magari yote hakuna la 2021 na ni mitumba used,
1: Rolls-royce la mond ni used la 2018 na nimeongea na Rolls Royce hawana record ya mteja wa RR 2021 bongo na huyo hata siyo mteja wao kwani Rolls Royce ina waiting time ya at least miezi 3 na nusu tangu uweke order. Alafu ukitaka kujua tofauti ya 2021 na hilo la mond la 2018 angalia hizo grill
2: Hayo ma cadillac ya mondi yote ni used ya 2016 angalia tofauti ya cadillac escalade za 2021 na hiyo mitumba ya 2016
Yaani mondi ana take advantage sana ya undondocha wa wabongo kufanya research ndogo na ushamba wa wengi kwenye vitu vya gharama ndiyo maana akinunua anawajaza escalade 2021 zero kilomita mnajaa mazima kwa sababu ni washamba. Hayo magari yote ni used hana gari brand new kuanzia matoyota hayo hadi hilo bmw yote mitumba.View attachment 1865792View attachment 1865793View attachment 1865798View attachment 1865799View attachment 1865800
In reality ni more than 2b, kwa bei ya black badge plus ushuruHeheheheh watu wanafanya mchezo na 1.5B
Kamuulize lily wyneHivi nyie mnaoishi ughaibuni mtujuze hivi hata watu wa huko kama wasanii wakinunua city vyao huwa wanatabia kama za kina diamond za kutangaza tangaza au hizi tabia ni za waafrica hususani wale waliokuwa maskini na wakapata utajiri
Ni ngumu sana kum downgrade Mondi.. Huyu tayari yuko next to next level...!!!!
Jay z wakati hana hela alikua anavaa ma cheni hadi kwenye meno na alikua anataja magari ya kifahari kila verse na show off za kijinga ili watu wajue ana hela wakati hana hela.
Sasa hivi jay z ana hela huwezi kuona kavaa micheni wala hana show off za kijinga kwakuwa hana cha ku prove kuwa ana hela kila mtu anajua ana hela.
Ukiona mtu anatumia sana nguvu kushow kwamba ana hela ujue hana hela hizo ni maigizo tu.
Unateseka sana, ungejua huyo dogo simjui na nimeha Tz labda kabla hata hajazaliwa.Siyo kila mtu anakosoa mondi kisa kamzidi kuna watoto wa mabosi wenu humu mondi kibaka tuuView attachment 1866727
Yaani ndiyo watangaza na kupiga kelele, phot shoot na kurusha dollars huku wakichukuliwa videos.Hivi nyie mnaoishi ughaibuni mtujuze hivi hata watu wa huko kama wasanii wakinunua city vyao huwa wanatabia kama za kina diamond za kutangaza tangaza au hizi tabia ni za waafrica hususani wale waliokuwa maskini na wakapata utajiri
Hapa alichukizwa na huyo aliyempa wazo la kununua apartments lakini hata RR hataki awe nalo[emoji1][emoji1].Ngoja nikukumbushe utopolo uliwahi kuandika katika uzi wako mmoja hivi!
Tuone matapishi yako utayatumia kutawaza ai utayala...
View attachment 1866856
tatizo hilo mkuu, hatuamini kuwa tunaweza kuwa na watu hata 10 juu pasipo kumshusha yoyoteTatizo ni wabongo sasa kwani wanataka tuwe na wasanii 10 wenye mafanikio basi......... Roho zetu ni nyeusi sana
[emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji3064]Mmmmmh ,
Naona mods siku hizi wanalala na wewe mbere kwa mbere [emoji1787][emoji1787][emoji1787] shida nini mkuu?Hii ni ya 2016 mzee baba AMG
Huyo tayari tenaOya majuzi niliona umepigwa ban , wapi ulichochora Mzee [emoji3]