Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
- Thread starter
-
- #21
Kuna mda una refresh mkuu IQ ya mtu si rahis kushuka kwa vitu kama hivyi kwahy ukiona kituko au kichekeshi utashindwa kucheka au utafumba macho kuogopa watu wakikuona watakuona wewe IQ yako ndogo?Kufuatilia hizi habari ni kuthibitisha IQ yako ni low...
Fanya jitihada boss tunakuamini badoInakataa
Asikupangie mtu kitu Cha kuandika huwezi soma heading na mainbody afu mtu ana comment ujinga,Kuna mda una refresh mkuu IQ ya mtu si rahis kushuka kwa vitu kama hivyi kwahy ukiona kituko au kichekeshi utashindwa kucheka au utafumba macho kuogopa watu wakikuona watakuona wewe IQ yako ndogo?
Hawa ndo watu ambao Dr Kisenge wa JKCI kasema watapimwa bure moyo na kupatiwa matibabu. Upuuzi mtupuJioni hii kumetokea ngumi kati ya Juma Lokole na Stan Bakola chanzo cha ugomvi ni juma kwenda kupinga kuwa kajala hawawezi rudiana na Harmonize huku Stan Bakola akipigania kajala kukubali msamaha wa Hamronize ili warudiane
Juma alienda na bango lilosema kajala hataki shobo ndipo ugomvi ulipozuka vuta ni kuvute ikawa kubwa sana
Kilichonishangaa ni shekheee kuwa mc kuhalalisha zina na kuwa mstari wa mbele kabisa kutangaza huku dini yao ikikataa na kulaani zinaa how comes shekhee anaenda kwenye vitu kama vile?
NimekuwekeaSasa ndio umbea gani huo kaleta na yeye? Nyie watu mnatakiwa kunishukuru sana kwa kuwaandikia habari zangu vizuri.
Nimeweka pale juuTupia hata picha zao mkuu sio kila mtu anawajua.
Watu wameamua kuikumbatia duniaMawadhaiza yake ukiyasikiliza unasema hee kweli huyu shekhee
Kalusha teke na kichwa juuLokole si Ali left camp? Kapigana tena Na dume au mshenzi mwenzake?
Nimekuwekea full videoYaani umbea hauna picha, hauna video hauna source ya vyanzo vingine vya Khabar...... Mwichuliw kazingua
Teyar panda juu uone nishawekaFanya jitihada boss tunakuamini bado
Haha Chanika msamba KWELI?Kalusha teke na kichwa juu
Watu wanajikuta sana high levelAsikupangie mtu kitu Cha kuandika huwezi soma heading na mainbody afu mtu ana comment ujinga,
Tuletee Khabar za watoto wa mjini
Huyu jamaa kutoka ntwara misambwanda itamcost maana hapoi akimalizana na huu anatafuta mwingine.Jioni hii kumetokea ngumi kati ya Juma Lokole na Stan Bakola chanzo cha ugomvi ni juma kwenda kupinga kuwa kajala hawawezi rudiana na Harmonize huku Stan Bakola akipigania kajala kukubali msamaha wa Hamronize ili warudiane
Juma alienda na bango lilosema kajala hataki shobo ndipo ugomvi ulipozuka vuta ni kuvute ikawa kubwa sana
Kilichonishangaa ni shekheee kuwa mc kuhalalisha zina na kuwa mstari wa mbele kabisa kutangaza huku dini yao ikikataa na kulaani zinaa how comes shekhee anaenda kwenye vitu kama vile?
Ndio hao haoHawa ndo watu ambao Dr Kisenge wa JKCI kasema watapimwa bure moyo na kupatiwa matibabu. Upuuzi mtupu
Kabisa kuna kipnd alimponda sana tembo kama sikoseiWatu wameamua kuikumbatia dunia
Take it easy mkuuHii ndo habari ya kuleta jamiiforum kweli? Tena na mwanaume
Anakwambia ndio kaanza vita now ngumi mkononiHaha Chanika msamba KWELI?
Sasa mbona watu wapo wengi why ana mganda kajala anakuwa kama bwege fulaniHuyu jamaa kutoka ntwara misambwanda itamcost maana hapoi akimalizana na huu anatafuta mwingine.