KING MIDAS
JF-Expert Member
- Dec 1, 2010
- 8,589
- 16,936
Ngumu sponji, ngumu lakini kama keki ya kipaimaraAnakwambia ndio kaanza vita now ngumi mkononi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngumu sponji, ngumu lakini kama keki ya kipaimaraAnakwambia ndio kaanza vita now ngumi mkononi
anatafuta kiki tu mmakondeSasa mbona watu wapo wengi why ana mganda kajala anakuwa kama bwege fulani
Sema leo kakaza kiume sanaNgumu sponji, ngumu lakini kama keki ya kipaimara
Tungojee wimbo ukimsifia kajala sasaanatafuta kiki tu mmakonde
Wengine hatufuatilii ila habari zinatufuata.Kufuatilia hizi habari ni kuthibitisha IQ yako ni low...
Ukiona huwafahamu, sometimes inakuwa ni faida kwako kutowafahamu.Nimetoka mtupu sifahamu hata mmoja katika wote uliowataja.. ndio kina nani hao mkuu?
Okay good job braza 👊Nimekuwekea full video
Hawana lolote Hawa Hawa wako Instagram, Facebook, tikitoki na kwingineko kufatilia habari za low level 😂Watu wanajikuta sana high level
Njaa kakaWengine hatufuatilii ila habari zinatufuata.
Inawezekana ni muhimu kujua hizi habari ili kuelewa jamii ya vijana wa mjini wa Tanzania ikoje.
Mimi mpaka najiuliza, hapa issue ni Kajala na Konde Boy tu? Au kuna mengine huko wamedhulumiana hatujui?
Maana kama ni Kajala na Konde Boy tu mwanamme kupigana kwa sababu ya mahusiano ya mwanamme mwenzako na mwanamke wake ni kashfa.
Yani mwenye mahusiano yake hajapigana, uende kupigana wewe mtu baki? Kisa?
InjoyOkay good job braza 👊
Ni viongozi wa serikali huku DaslamNdio kina nani hao huko Daslam?
AhahhaHawana lolote Hawa Hawa wako Instagram, Facebook, tikitoki na kwingineko kufatilia habari za low level 😂
Sio wanaume tu viongozibwa dini kabisa kaka mbeleHii inaakisi akili ya kizazi hiki Cha Sasa!
Wakati tunakuwa "ku-date" na mtu ilikuwa ni aibu! Hasa Binti asingeweza kuonesha "umalaya" wake hadharani!
Siku hizi Kuna wapiga debe wa umalaya wa wengine! Wanaume kabisa!
Kwhy bimkubwa hapa kosa lipo kwa nani?Hapo wote ni sawa tu
Mbowe amesema hagombei usijisumbue na uzi umefungwaMambo ya Daslam hayo.
Ngojs niende kwenye uzi wa Lissu na Mbowe.
Wewe mpaka ume_comment kwenye huu Uzi ni wazi uliu_click na kuusoma, kwa nini unafatilia kusoma habari kama hizi!? Huoni unathibitisha udogo wa IQ Yako Mkuu!?Kufuatilia hizi habari ni kuthibitisha IQ yako ni low...
Tena stan kapigwa mateke vzur tuLokole si Ali left camp? Kapigana tena Na dume au mshenzi mwenzake?