Wagumu Tunadumu
JF-Expert Member
- Dec 10, 2022
- 5,276
- 17,354
Mwijaku hakosi,angekuwa bado yupo clouds j3 tungemsikiliza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kapigwa kipepsi kimoja kaangukia bangoTena stan kapigwa mateke vzur tu
Thank you mzeeInjoy
Hao ndio maboss wa jf mkuuWewe mpaka ume_comment kwenye huu Uzi ni wazi uliu_click na kuusoma, kwa nini unafatilia kusoma habari kama hizi!? Huoni unathibitisha udogo wa IQ Yako Mkuu!?
Humu much know kibaoAhahha
Some how zinaondoa stress kidgocontent pendwa TZ
Drama za kipuuzi sana zinaendelea mjiniJioni hii kumetokea ngumi kati ya Juma Lokole na Stan Bakola chanzo cha ugomvi ni juma kwenda kupinga kuwa kajala hawawezi rudiana na Harmonize huku Stan Bakola akipigania kajala kukubali msamaha wa Hamronize ili warudiane
Juma alienda na bango lilosema kajala hataki shobo ndipo ugomvi ulipozuka vuta ni kuvute ikawa kubwa sana
Kilichonishangaa ni shekheee kuwa mc kuhalalisha zina na kuwa mstari wa mbele kabisa kutangaza huku dini yao ikikataa na kulaani zinaa how comes shekhee anaenda kwenye vitu kama vile?
Kuna jamaa mmoja nilimshawishi kujinga jf akajiunga siku mmoja akapost thread wakaaza kumpayukia jamaa akacha thread ipepe hakujibu kitu ananipigia simu anasemaHumu much know kibao
Ahahah wanataka kutoa kwenye reli mkuu wakat mpo mnapambania tume huruDrama za kipuuzi sana zinaendelea mjini
Wanatugeuza wapumbavu
Nakuja bariadiMusoma na Rorya usikanyage
Mkuu,Hii inaakisi akili ya kizazi hiki Cha Sasa!
Wakati tunakuwa "ku-date" na mtu ilikuwa ni aibu! Hasa Binti asingeweza kuonesha "umalaya" wake hadharani!
Siku hizi Kuna wapiga debe wa umalaya wa wengine! Wanaume kabisa!
Wahuni sana hawa wahed.Ahahah wanataka kutoa kwenye reli mkuu wakat mpo mnapambania tume huru
hahahaha humu inabidi uende na watu walivyo ukisemwa komaa nae, akifanya hivi the same, bila hivyo utaogopa mnoKuna jamaa mmoja nilimshawishi kujinga jf akajiunga siku mmoja akapost thread wakaaza kumpayukia jamaa akacha thread ipepe hakujibu kitu ananipigia simu anasema
Ule mtandao unauweza wewe watu much know sana nilecheka sana
Ndipo hapo nashangaa, anayekula mzigo mwingine wanaopigana wengine...Wengine hatufuatilii ila habari zinatufuata.
Inawezekana ni muhimu kujua hizi habari ili kuelewa jamii ya vijana wa mjini wa Tanzania ikoje.
Mimi mpaka najiuliza, hapa issue ni Kajala na Konde Boy tu? Au kuna mengine huko wamedhulumiana hatujui?
Maana kama ni Kajala na Konde Boy tu mwanamme kupigana kwa sababu ya mahusiano ya mwanamme mwenzako na mwanamke wake ni kashfa.
Yani mwenye mahusiano yake hajapigana, uende kupigana wewe mtu baki? Kisa?
Ndipo hapo nashangaa, anayekula mzigo mwingine wanaopigana wengine...
Hawa ndio nguvu kazi ya Taifa...
View: https://www.youtube.com/watch?v=FBpQHsRnYF8
Pesa ngumuWanaume wanapigana kisa mahusiano ya mwanaume mwenzao.
Harmonize akiamua anawapiga mbupu wote watatu hao, kama hajawapiga bado.
Wote washakaa mkao wa namba 7.
Kwhy tuna focus wapi mpaka sasa tume au drma za bongoWahuni sana hawa wahed.
Tume ya Mipango ovu sana hii😀
Ahahahhahahaha humu inabidi uende na watu walivyo ukisemwa komaa nae, akifanya hivi the same, bila hivyo utaogopa mno