Juma Lokole vs Stan Bakola wazichapa leo

Juma Lokole vs Stan Bakola wazichapa leo

Jioni hii kumetokea ngumi kati ya Juma Lokole na Stan Bakola chanzo cha ugomvi ni juma kwenda kupinga kuwa kajala hawawezi rudiana na Harmonize huku Stan Bakola akipigania kajala kukubali msamaha wa Hamronize ili warudiane

Juma alienda na bango lilosema kajala hataki shobo ndipo ugomvi ulipozuka vuta ni kuvute ikawa kubwa sana

Kilichonishangaa ni shekheee kuwa mc kuhalalisha zina na kuwa mstari wa mbele kabisa kutangaza huku dini yao ikikataa na kulaani zinaa how comes shekhee anaenda kwenye vitu kama vile?
Drama za kipuuzi sana zinaendelea mjini

Wanatugeuza wapumbavu
 
Hii inaakisi akili ya kizazi hiki Cha Sasa!
Wakati tunakuwa "ku-date" na mtu ilikuwa ni aibu! Hasa Binti asingeweza kuonesha "umalaya" wake hadharani!

Siku hizi Kuna wapiga debe wa umalaya wa wengine! Wanaume kabisa!
Mkuu,

Kajala alikuwa anamwaga radhi kucheza ngoma za kujifunua uchi tangu wazee tuko sekondari miaka ya mwanzo ya tisini. Yeye na squad yake ile ya Jitegemee na washikaji zake wale wa Polisi Oysterbay na Namanga.

Wakati Konde Boy bado mdomo wake unanukia maziwa ya mama hata hajapata wazo kwamba atakanyaga Mchafukoge Bongo Dar es salaam.
 
Kuna jamaa mmoja nilimshawishi kujinga jf akajiunga siku mmoja akapost thread wakaaza kumpayukia jamaa akacha thread ipepe hakujibu kitu ananipigia simu anasema

Ule mtandao unauweza wewe watu much know sana nilecheka sana
hahahaha humu inabidi uende na watu walivyo ukisemwa komaa nae, akifanya hivi the same, bila hivyo utaogopa mno
 
Wengine hatufuatilii ila habari zinatufuata.

Inawezekana ni muhimu kujua hizi habari ili kuelewa jamii ya vijana wa mjini wa Tanzania ikoje.

Mimi mpaka najiuliza, hapa issue ni Kajala na Konde Boy tu? Au kuna mengine huko wamedhulumiana hatujui?

Maana kama ni Kajala na Konde Boy tu mwanamme kupigana kwa sababu ya mahusiano ya mwanamme mwenzako na mwanamke wake ni kashfa.

Yani mwenye mahusiano yake hajapigana, uende kupigana wewe mtu baki? Kisa?
Ndipo hapo nashangaa, anayekula mzigo mwingine wanaopigana wengine...
Hawa ndio nguvu kazi ya Taifa...

View: https://www.youtube.com/watch?v=FBpQHsRnYF8
 
Back
Top Bottom