Juma Lokole vs Stan Bakola wazichapa leo

Juma Lokole vs Stan Bakola wazichapa leo

Dar mnavitu vingi sana vya kujivunza huku Kanda maalumu Mara. Huko mtu kutolewa sikio ni kama ninyi huko daslama kunywa supu ya pweza hutaona wamepost Wala kusema maana nikawaida Sasa hao wamepiganaje Sasa hapo?
 
Kibongo bongo usishangae kuambiwa hizi ngumi za kupangwa watu wamekunja mkwanja hapo ku promote majina 😂😂😂

Wabongo hawana maana.
Ndio zao hizo baadae unasikia limeandaliwa pambano la masumbwi kati ya huyo mwenye bango na huyo mwenye suti huku kila mmoja akiwa na team yake huku Kajala kule Harmonize... Na watu wanakata tiketi kuingia kwa wingi...
 
Wewe mpaka ume_comment kwenye huu Uzi ni wazi uliu_click na kuusoma, kwa nini unafatilia kusoma habari kama hizi!? Huoni unathibitisha udogo wa IQ Yako Mkuu!?
Imagine kijana wa kiume unafuatilia tamthilia za kikorea kila episode na udaku wa kina Kajala na Juma Lokole... we imagine tu....

Mimi nieona huu uzi hata siwafahamu hao watu nikahisi labda ni wapiganaji masubwi kichwa cha habari kikisema...

Juma Lokole vs Stan Bakola wazichapa leo​

 
Imagine kijana wa kiume unafuatilia tamthilia za kikorea kila episode na udaku wa kina Kajala na Juma Lokole... we imagine tu....

Mimi nieona huu uzi hata siwafahamu hao watu nikahisi labda ni wapiganaji masubwi kichwa cha habari kikisema...

Juma Lokole vs Stan Bakola wazichapa leo​

Acha kukuza mambo kama unaona ujinga usinge comment wenzio walio ona uhu ni upuuzi umeona wakichangia hapa?
 
Back
Top Bottom