Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmoja nimeambiwa kua ni choko mwenzako.Magaidi wenzio hao, Kwani huwajui?
Umejitetea vizuri sana!Kuna mda una refresh mkuu IQ ya mtu si rahis kushuka kwa vitu kama hivyi kwahy ukiona kituko au kichekeshi utashindwa kucheka au utafumba macho kuogopa watu wakikuona watakuona wewe IQ yako ndogo?
Vioo vya jamii 😄Ni akina nani watu hawa?, wana impact gani kwenye jamii? nijuzeni tafadhali
Sasa mbona uliingia katika huu uzi.Kufuatilia hizi habari ni kuthibitisha IQ yako ni low...
Wanaume kabisa wanafanya mambo ya kisengeJioni hii kumetokea ngumi kati ya Juma Lokole na Stan Bakola chanzo cha ugomvi ni juma kwenda kupinga kuwa kajala hawawezi rudiana na Harmonize huku Stan Bakola akipigania kajala kukubali msamaha wa Hamronize ili warudiane
Juma alienda na bango lilosema kajala hataki shobo ndipo ugomvi ulipozuka vuta ni kuvute ikawa kubwa sana
Kilichonishangaa ni shekheee kuwa mc kuhalalisha zina na kuwa mstari wa mbele kabisa kutangaza huku dini yao ikikataa na kulaani zinaa how comes shekhee anaenda kwenye vitu kama vile?