Ndumbayeye
JF-Expert Member
- Jan 31, 2009
- 7,413
- 4,020
Uchoko ni mbaya sana!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha kabisaBongo MAV! kwa kiki za Kisengerema hawajambo.
Na kabeba bangoEti mwakilishi wa familia ya masanja!!
Kwa kufupi anaitwa J.LONgumu sponji, ngumu lakini kama keki ya kipaimara
Kuna mda unaandika vitu vya msingi sanaWengine hatufuatilii ila habari zinatufuata.
Inawezekana ni muhimu kujua hizi habari ili kuelewa jamii ya vijana wa mjini wa Tanzania ikoje.
Mimi mpaka najiuliza, hapa issue ni Kajala na Konde Boy tu? Au kuna mengine huko wamedhulumiana hatujui?
Maana kama ni Kajala na Konde Boy tu mwanamme kupigana kwa sababu ya mahusiano ya mwanamme mwenzako na mwanamke wake ni kashfa.
Yani mwenye mahusiano yake hajapigana, uende kupigana wewe mtu baki? Kisa?
Nina haki ya kutoa maoni yangu hapa.Acha kukuza mambo kama unaona ujinga usinge comment wenzio walio ona uhu ni upuuzi umeona wakichangia hapa?
Mimi nawaza mwijaku hapo kafikajeNa kabeba bango
Yeye alijua humu Facebook?Kuna jamaa mmoja nilimshawishi kujinga jf akajiunga siku mmoja akapost thread wakaaza kumpayukia jamaa akacha thread ipepe hakujibu kitu ananipigia simu anasema
Ule mtandao unauweza wewe watu much know sana nilecheka sana
Ahaha kifupishoKwa kufupi anaitwa J.LO
Mwijaku na stan ndio waliaanda event yao ya kumshawishi kajala kurudiana na temboMimi nawaza mwijaku hapo kafikaje
Kulikuwa na event gan hapo
Mjini hapa unashangaa hela ngumu kupata lakini watu hawahami wanaishi tu.Ndio zao hizo baadae unasikia limeandaliwa pambano la masumbwi kati ya huyo mwenye bango na huyo mwenye suti huku kila mmoja akiwa na team yake huku Kajala kule Harmonize... Na watu wanakata tiketi kuingia kwa wingi...
Wewe kosa lako nisipoandika unachotaka wewe unaona nina makosa.Kuna mda unaandika vitu vya msingi sana
Kosa lako moja tu
Hakuwepo alikuwepo mwakilishiMkuu wa mkoa hakuwepo? Au wasahau kumpa mwaliko?
Kwanini unapotosha watu juu ya habari ya MWENYEZI MUNGU huku wewe ukihudhuria kanisan kila siku?Wewe kosa lako nisipoandika unachotaka wewe unaona nina makosa.
Anzisha uzi maalum wa hoja hiyo, halafu weka uthibitisho wa unachoandika.Kwanini unapotosha watu juu ya habari ya MWENYEZI MUNGU huku wewe ukihudhuria kanisan kila siku?
Wewe mshamba niniAnzisha uzi maalum wa hoja hiyo, halafu weka uthibitisho wa unachoandika.
La sivyo, nitakuchukulia kama troll unayetaka kuchafua uzi wa watu na kukupeleka ignore list.
Ili mtuzimie mjadala wa lissu na chadema hapana kwa kweliJioni hii kumetokea ngumi kati ya Juma Lokole na Stan Bakola chanzo cha ugomvi ni juma kwenda kupinga kuwa kajala hawawezi rudiana na Harmonize huku Stan Bakola akipigania kajala kukubali msamaha wa Hamronize ili warudiane
Juma alienda na bango lilosema kajala hataki shobo ndipo ugomvi ulipozuka vuta ni kuvute ikawa kubwa sana
Kilichonishangaa ni shekheee kuwa mc kuhalalisha zina na kuwa mstari wa mbele kabisa kutangaza huku dini yao ikikataa na kulaani zinaa how comes shekhee anaenda kwenye vitu kama vile?
Nataman ujinga kama huu usiwekwe jf ,maana ujinga kama huu kumwabarisha mwanaume rijali Sion hajaJioni hii kumetokea ngumi kati ya Juma Lokole na Stan Bakola chanzo cha ugomvi ni juma kwenda kupinga kuwa kajala hawawezi rudiana na Harmonize huku Stan Bakola akipigania kajala kukubali msamaha wa Hamronize ili warudiane
Juma alienda na bango lilosema kajala hataki shobo ndipo ugomvi ulipozuka vuta ni kuvute ikawa kubwa sana
Kilichonishangaa ni shekheee kuwa mc kuhalalisha zina na kuwa mstari wa mbele kabisa kutangaza huku dini yao ikikataa na kulaani zinaa how comes shekhee anaenda kwenye vitu kama vile?