Juma Lokole vs Stan Bakola wazichapa leo

Juma Lokole vs Stan Bakola wazichapa leo

Wengine hatufuatilii ila habari zinatufuata.

Inawezekana ni muhimu kujua hizi habari ili kuelewa jamii ya vijana wa mjini wa Tanzania ikoje.

Mimi mpaka najiuliza, hapa issue ni Kajala na Konde Boy tu? Au kuna mengine huko wamedhulumiana hatujui?

Maana kama ni Kajala na Konde Boy tu mwanamme kupigana kwa sababu ya mahusiano ya mwanamme mwenzako na mwanamke wake ni kashfa.

Yani mwenye mahusiano yake hajapigana, uende kupigana wewe mtu baki? Kisa?
Kuna mda unaandika vitu vya msingi sana

Kosa lako moja tu
 
Ndio zao hizo baadae unasikia limeandaliwa pambano la masumbwi kati ya huyo mwenye bango na huyo mwenye suti huku kila mmoja akiwa na team yake huku Kajala kule Harmonize... Na watu wanakata tiketi kuingia kwa wingi...
Mjini hapa unashangaa hela ngumu kupata lakini watu hawahami wanaishi tu.

Unaona vi video vya social media hivi kama vichekesho, wenzako wanapiga ngumi fake zinazoleta hela za kweli.
 
Jioni hii kumetokea ngumi kati ya Juma Lokole na Stan Bakola chanzo cha ugomvi ni juma kwenda kupinga kuwa kajala hawawezi rudiana na Harmonize huku Stan Bakola akipigania kajala kukubali msamaha wa Hamronize ili warudiane

Juma alienda na bango lilosema kajala hataki shobo ndipo ugomvi ulipozuka vuta ni kuvute ikawa kubwa sana

Kilichonishangaa ni shekheee kuwa mc kuhalalisha zina na kuwa mstari wa mbele kabisa kutangaza huku dini yao ikikataa na kulaani zinaa how comes shekhee anaenda kwenye vitu kama vile?
Ili mtuzimie mjadala wa lissu na chadema hapana kwa kweli
 
Jioni hii kumetokea ngumi kati ya Juma Lokole na Stan Bakola chanzo cha ugomvi ni juma kwenda kupinga kuwa kajala hawawezi rudiana na Harmonize huku Stan Bakola akipigania kajala kukubali msamaha wa Hamronize ili warudiane

Juma alienda na bango lilosema kajala hataki shobo ndipo ugomvi ulipozuka vuta ni kuvute ikawa kubwa sana

Kilichonishangaa ni shekheee kuwa mc kuhalalisha zina na kuwa mstari wa mbele kabisa kutangaza huku dini yao ikikataa na kulaani zinaa how comes shekhee anaenda kwenye vitu kama vile?
Nataman ujinga kama huu usiwekwe jf ,maana ujinga kama huu kumwabarisha mwanaume rijali Sion haja
 
Back
Top Bottom