Juma Lokole vs Stan Bakola wazichapa leo

Juma Lokole vs Stan Bakola wazichapa leo

Wewe mshamba nini
Ignore ndo upumbavu gan

Ukizidiwa hoja unaanza viroja

Are you Brain washed?
Umeshindwa kutimiza masharti niliyokupa.

Natimiza nilichokuambia.

Nakupeleka ignore list. Kuanzia hapa sitaona unachoandika.
 
Jioni hii kumetokea ngumi kati ya Juma Lokole na Stan Bakola chanzo cha ugomvi ni juma kwenda kupinga kuwa kajala hawawezi rudiana na Harmonize huku Stan Bakola akipigania kajala kukubali msamaha wa Hamronize ili warudiane

Juma alienda na bango lilosema kajala hataki shobo ndipo ugomvi ulipozuka vuta ni kuvute ikawa kubwa sana

Kilichonishangaa ni shekheee kuwa mc kuhalalisha zina na kuwa mstari wa mbele kabisa kutangaza huku dini yao ikikataa na kulaani zinaa how comes shekhee anaenda kwenye vitu kama vile?
Lets Discuss mambo ya Msingi kwanza.
 
Kuna jamaa mmoja nilimshawishi kujinga jf akajiunga siku mmoja akapost thread wakaaza kumpayukia jamaa akacha thread ipepe hakujibu kitu ananipigia simu anasema

Ule mtandao unauweza wewe watu much know sana nilecheka sana
Hili ni tatizo la kitaifa
 
HII NI AIBU KUBWA

Yaani kweli vijana wa Daslam tena MASHOGA wanagombana kwaajili ya Umbea, Ukuda na Uchawa?

Ndio maana hata watekaji wanateka watu mchana kweupe tena stand kuu na hakuna kitu wanafanywa, Kijana wa Daslam akijitahidi sana atapiga picha au kuchukua video kwa mbali
 
Back
Top Bottom