Juma Lokole vs Stan Bakola wazichapa leo

Juma Lokole vs Stan Bakola wazichapa leo

Kuna mda una refresh mkuu IQ ya mtu si rahis kushuka kwa vitu kama hivyi kwahy ukiona kituko au kichekeshi utashindwa kucheka au utafumba macho kuogopa watu wakikuona watakuona wewe IQ yako ndogo?
Asikupangie mtu kitu Cha kuandika huwezi soma heading na mainbody afu mtu ana comment ujinga,

Tuletee Khabar za watoto wa mjini
 
Jioni hii kumetokea ngumi kati ya Juma Lokole na Stan Bakola chanzo cha ugomvi ni juma kwenda kupinga kuwa kajala hawawezi rudiana na Harmonize huku Stan Bakola akipigania kajala kukubali msamaha wa Hamronize ili warudiane

Juma alienda na bango lilosema kajala hataki shobo ndipo ugomvi ulipozuka vuta ni kuvute ikawa kubwa sana

Kilichonishangaa ni shekheee kuwa mc kuhalalisha zina na kuwa mstari wa mbele kabisa kutangaza huku dini yao ikikataa na kulaani zinaa how comes shekhee anaenda kwenye vitu kama vile?
Hawa ndo watu ambao Dr Kisenge wa JKCI kasema watapimwa bure moyo na kupatiwa matibabu. Upuuzi mtupu
 
Jioni hii kumetokea ngumi kati ya Juma Lokole na Stan Bakola chanzo cha ugomvi ni juma kwenda kupinga kuwa kajala hawawezi rudiana na Harmonize huku Stan Bakola akipigania kajala kukubali msamaha wa Hamronize ili warudiane

Juma alienda na bango lilosema kajala hataki shobo ndipo ugomvi ulipozuka vuta ni kuvute ikawa kubwa sana

Kilichonishangaa ni shekheee kuwa mc kuhalalisha zina na kuwa mstari wa mbele kabisa kutangaza huku dini yao ikikataa na kulaani zinaa how comes shekhee anaenda kwenye vitu kama vile?
Huyu jamaa kutoka ntwara misambwanda itamcost maana hapoi akimalizana na huu anatafuta mwingine.
 
Back
Top Bottom