Umeshindwa kutimiza masharti niliyokupa.Wewe mshamba nini
Ignore ndo upumbavu gan
Ukizidiwa hoja unaanza viroja
Are you Brain washed?
Hawana mchango wowote kwa Taifa😀Kuna ndugu yake mwijaku moro aligomaga kupanda gari la polisi akisema yeye ni ndugu wa mwijaku uku kavunja sheria
Ndo maana nimekwambia wewe Kuna akili unayo lakin Kuna mda akili haunaUmeshindwa kutimiza masharti niliyokupa.
Natimiza nilichokuambia.
Nakupeleka ignore list. Kuanzia hapa sitaona unachoandika.
Hakuwepo alikuwepo mwakilishi
Anajua kwa drama zao watapata maradhi mengine ila sio moyo 🤣🤣🤣 natania aiseeHawa ndo watu ambao Dr Kisenge wa JKCI kasema watapimwa bure moyo na kupatiwa matibabu. Upuuzi mtupu
Baniani mbaya the bold------inabidi apewe zawadi kukuachia huo urithi wa uandishiSasa ndio umbea gani huo kaleta na yeye? Nyie watu mnatakiwa kunishukuru sana kwa kuwaandikia habari zangu vizuri.
Lets Discuss mambo ya Msingi kwanza.Jioni hii kumetokea ngumi kati ya Juma Lokole na Stan Bakola chanzo cha ugomvi ni juma kwenda kupinga kuwa kajala hawawezi rudiana na Harmonize huku Stan Bakola akipigania kajala kukubali msamaha wa Hamronize ili warudiane
Juma alienda na bango lilosema kajala hataki shobo ndipo ugomvi ulipozuka vuta ni kuvute ikawa kubwa sana
Kilichonishangaa ni shekheee kuwa mc kuhalalisha zina na kuwa mstari wa mbele kabisa kutangaza huku dini yao ikikataa na kulaani zinaa how comes shekhee anaenda kwenye vitu kama vile?
yes na si kosa kufuatilia maana bando ni la mtu binafsi pia 😂Some how zinaondoa stress kidgo
Wapigania uhuru wa mahusianHawana mchango wowote kwa Taifa😀
Yah sureHii nchi watu hawako serious kabisa.
Hili ni tatizo la kitaifaKuna jamaa mmoja nilimshawishi kujinga jf akajiunga siku mmoja akapost thread wakaaza kumpayukia jamaa akacha thread ipepe hakujibu kitu ananipigia simu anasema
Ule mtandao unauweza wewe watu much know sana nilecheka sana
Kabisaaayes na si kosa kufuatilia maana bando ni la mtu binafsi pia 😂
Tuna solve vip sasaHili ni tatizo la kitaifa
Ndio basi tena it's too lateTuna solve vip sasa
Nenda kule asee kukuta mwanaume ana ngeo ni kawaida kabisa huwezi kukuta mwili upo kama alivyo zaliwa ni ngumu labda hiki kizazi cha sasaAcha kutupanga basi
Magaidi wenzio hao, Kwani huwajui?Ndio kina nani hao huko Daslam?
Kweli aisee... wewe nimekuelewa. Wangesema magonjwa ya zinaa bure lazima wangeifilisi Muhimbili.Anajua kwa drama zao watapata maradhi mengine ila sio moyo 🤣🤣🤣 natania aisee