Juma Lokole vs Stan Bakola wazichapa leo

Ni akina nani watu hawa?, wana impact gani kwenye jamii? nijuzeni tafadhali
 
Harmonize itamtumia muda mrefu kurudi katika nafasi yake.

Hana endorsement hata moja. Anategemea kiki za wanawake ndo zimpatie air time .
 
Hebu serikali iingilie kati huo ugomvi ikiwezekana wawapatanishe,iundwe tume maalum 😄 ikiwezekana bunge liwasimamie

Ova
 
Wanaume kabisa wanafanya mambo ya kisenge
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…