Juma Magoma anataka akabidhiwe uongozi wa Yanga SC na asimamie assets zote za timu

Juma Magoma anataka akabidhiwe uongozi wa Yanga SC na asimamie assets zote za timu

Mpigania uhuru wa pili

JF-Expert Member
Joined
Apr 12, 2023
Posts
3,380
Reaction score
6,376
Kwenye hukumu ya magoma yameongelewa mengi ila katika jambo ambalo limenichekesha ni yeye kutaka kukabidhiwa timu na account zote za timu ziwe chini yake kirahis kirahis

swala la mtu kutaka kupewa timu kirahsis rahis hiki ni kituko na ni ujumbe kwamba tuliowengi tunapenda short cut na kudandia mafanikio na ni moja ya tabia ya walio watanzania wengi

Kwenye maisha hakuna jambo utakalopata kirahis rahisi na kama ukilipata kirahis basi gharama yake ni kubwa sana na pengine halitadumu na pia tusiwe tunapenda shortcut

Kama hamtaki hersi ni vizuri angeomba mahakama iiamuru Yanga iitishw uchaguzi ili achaguliwe yeye na wanachama na sio kutaka kuchukua madaraka na kumiliki assets zote za timu kirahis rahisi

Kwa misimu mitatu yanga ina makombe matatu ya ligi na matatu ya fa, imefika fainal ya kombe la shirikisho huko nyuma haijawahi na wamefika robo fainal ya club bingwa africa kwa haya mafanikio ya Yanga ni ngumu sana kwa mshabiki wa Yanga kukuamini Juma magoma sababu namba hazidanganyi hata kama unahoja za msingi

Magoma anahaki ya kutoa malalamiko yake ila vita aliyoichagua sio rahisi hata kidogo ni ngumu sana kwake na aliyeko nyuma yake
 
Kwenye hukumu ya magoma yameongelewa mengi ila katika jambo ambalo limenichekesha ni yeye kutaka kukabidhiwa timu na account zote za timu ziwe chini yake kirahis kirahis

swala la mtu kutaka kupewa timu kirahsis rahis hiki ni kituko na ni ujumbe kwamba tuliowengi tunapenda short cut na kudandia mafanikio na ni moja ya tabia ya walio watanzania wengi

Kwenye maisha hakuna jambo utakalopata kirahis rahisi na kama ukilipata kirahis basi gharama yake ni kubwa sana na pengine halitadumu na pia tusiwe tunapenda shortcut

Kama hamtaki hersi ni vizuri angeomba mahakama iiamuru Yanga iitishw uchaguzi ili achaguliwe yeye na wanachama na sio kutaka kuchukua madaraka na kumiliki assets zote za timu kirahis rahisi

Kwa misimu mitatu yanga ina makombe matatu ya ligi na matatu ya fa, imefika fainal ya kombe la shirikisho huko nyuma haijawahi na wamefika robo fainal ya club bingwa africa kwa haya mafanikio ya Yanga ni ngumu sana kwa mshabiki wa Yanga kukuamini Juma magoma sababu namba hazidanganyi hata kama unahoja za msingi

Magoma anahaki ya kutoa malalamiko yake ila vita aliyoichagua sio rahisi hata kidogo ni ngumu sana kwake na aliyeko nyuma yake
Juma Magoma ana watu asipuuzwe.
 
Kwenye hukumu ya magoma yameongelewa mengi ila katika jambo ambalo limenichekesha ni yeye kutaka kukabidhiwa timu na account zote za timu ziwe chini yake kirahis kirahis

swala la mtu kutaka kupewa timu kirahsis rahis hiki ni kituko na ni ujumbe kwamba tuliowengi tunapenda short cut na kudandia mafanikio na ni moja ya tabia ya walio watanzania wengi

Kwenye maisha hakuna jambo utakalopata kirahis rahisi na kama ukilipata kirahis basi gharama yake ni kubwa sana na pengine halitadumu na pia tusiwe tunapenda shortcut

Kama hamtaki hersi ni vizuri angeomba mahakama iiamuru Yanga iitishw uchaguzi ili achaguliwe yeye na wanachama na sio kutaka kuchukua madaraka na kumiliki assets zote za timu kirahis rahisi

Kwa misimu mitatu yanga ina makombe matatu ya ligi na matatu ya fa, imefika fainal ya kombe la shirikisho huko nyuma haijawahi na wamefika robo fainal ya club bingwa africa kwa haya mafanikio ya Yanga ni ngumu sana kwa mshabiki wa Yanga kukuamini Juma magoma sababu namba hazidanganyi hata kama unahoja za msingi

Magoma anahaki ya kutoa malalamiko yake ila vita aliyoichagua sio rahisi hata kidogo ni ngumu sana kwake na aliyeko nyuma yake
Hebu tuwekee hiyo hukumu tujiridhishe na ulichokiandika.
 
FB_IMG_1721242889884.jpg
 
Kwenye hukumu ya magoma yameongelewa mengi ila katika jambo ambalo limenichekesha ni yeye kutaka kukabidhiwa timu na account zote za timu ziwe chini yake kirahis kirahis

swala la mtu kutaka kupewa timu kirahsis rahis hiki ni kituko na ni ujumbe kwamba tuliowengi tunapenda short cut na kudandia mafanikio na ni moja ya tabia ya walio watanzania wengi

Kwenye maisha hakuna jambo utakalopata kirahis rahisi na kama ukilipata kirahis basi gharama yake ni kubwa sana na pengine halitadumu na pia tusiwe tunapenda shortcut

Kama hamtaki hersi ni vizuri angeomba mahakama iiamuru Yanga iitishw uchaguzi ili achaguliwe yeye na wanachama na sio kutaka kuchukua madaraka na kumiliki assets zote za timu kirahis rahisi

Kwa misimu mitatu yanga ina makombe matatu ya ligi na matatu ya fa, imefika fainal ya kombe la shirikisho huko nyuma haijawahi na wamefika robo fainal ya club bingwa africa kwa haya mafanikio ya Yanga ni ngumu sana kwa mshabiki wa Yanga kukuamini Juma magoma sababu namba hazidanganyi hata kama unahoja za msingi

Magoma anahaki ya kutoa malalamiko yake ila vita aliyoichagua sio rahisi hata kidogo ni ngumu sana kwake na aliyeko nyuma yake
Yanga wanatakiwa kuwa smart.wakimalizana na hii kesi, wafanye mpango wa kumufukuza kabisa uanachama huyu, ili akatafute timu nyingine. zingatieni hiili.
 
Kwenye hukumu ya magoma yameongelewa mengi ila katika jambo ambalo limenichekesha ni yeye kutaka kukabidhiwa timu na account zote za timu ziwe chini yake kirahis kirahis

swala la mtu kutaka kupewa timu kirahsis rahis hiki ni kituko na ni ujumbe kwamba tuliowengi tunapenda short cut na kudandia mafanikio na ni moja ya tabia ya walio watanzania wengi

Kwenye maisha hakuna jambo utakalopata kirahis rahisi na kama ukilipata kirahis basi gharama yake ni kubwa sana na pengine halitadumu na pia tusiwe tunapenda shortcut

Kama hamtaki hersi ni vizuri angeomba mahakama iiamuru Yanga iitishw uchaguzi ili achaguliwe yeye na wanachama na sio kutaka kuchukua madaraka na kumiliki assets zote za timu kirahis rahisi

Kwa misimu mitatu yanga ina makombe matatu ya ligi na matatu ya fa, imefika fainal ya kombe la shirikisho huko nyuma haijawahi na wamefika robo fainal ya club bingwa africa kwa haya mafanikio ya Yanga ni ngumu sana kwa mshabiki wa Yanga kukuamini Juma magoma sababu namba hazidanganyi hata kama unahoja za msingi

Magoma anahaki ya kutoa malalamiko yake ila vita aliyoichagua sio rahisi hata kidogo ni ngumu sana kwake na aliyeko nyuma yake
Magoma akabidhiwe Ofisi...
 
What if GSM mwenyewe akacheza hii karata maana anataka kujiondoa labda uendeshaji wa team umekuwa gharama kubwa na zinaathiri biashara zake!?
Tusiangalie upande mmoja
 
What if GSM mwenyewe akacheza hii karata maana anataka kujiondoa labda uendeshaji wa team umekuwa gharama kubwa na zinaathiri biashara zake!?
Tusiangalie upande mmoja
Mbona anaweza jiondoe bila hizi drama
Unadhani atazuiwa
 
Back
Top Bottom