Juma Magoma anataka akabidhiwe uongozi wa Yanga SC na asimamie assets zote za timu

Juma Magoma anataka akabidhiwe uongozi wa Yanga SC na asimamie assets zote za timu

Hiki kitu hata mimi nimekiwaza kwa muda mrefu sana kiasi cha kuutafakari weredi wa Hakimu aliyetoa hiyo hukumu!

Je, hakujua kama hao wazee wameghushi saini za baadhi ya wadhamini wa klabu?

Je, kulikwa kuna ugumu gani wa kuwapa taarifa ya kuitwa mahakamani kujitetea hao walioichukua klabu kinyume na katiba ili na wenyewe wajitetee!!

Na kwa nini aliiendesha hiyo kesi kimya kimya, na wakati inagusa maslahi ya wananchi walio wengi nchini (mashabiki, wanachama na wadau wa michezo)?
hakimu hayupo pale kuthibitisha jambo lolote, yeye yupo kuamua kilicholetwa mezani.
 
Hii kofia ndo inampa kiburi alhaji Magoma, wahuni wa Buza Mpalanger wakipita nayo , kwisha habari yake!

Bongo kuna watu wana digrii za nongwa, fitna na majungu.

Yaani akili tumewashinda, usajili tumewashinda, mpira tumewashinda na mashabiki tumewashinda makolo wameona wachomoe betri , na bado!!
 
Back
Top Bottom