Juma Magoma anataka akabidhiwe uongozi wa Yanga SC na asimamie assets zote za timu

hakimu hayupo pale kuthibitisha jambo lolote, yeye yupo kuamua kilicholetwa mezani.
 
Hii kofia ndo inampa kiburi alhaji Magoma, wahuni wa Buza Mpalanger wakipita nayo , kwisha habari yake!

Bongo kuna watu wana digrii za nongwa, fitna na majungu.

Yaani akili tumewashinda, usajili tumewashinda, mpira tumewashinda na mashabiki tumewashinda makolo wameona wachomoe betri , na bado!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…