Juma Nature akataa kushiriki Wasafi Festival kisa malipo kidogo ya laki tano

Juma Nature akataa kushiriki Wasafi Festival kisa malipo kidogo ya laki tano

Jukwaani watu hugewa muda.

Mfano dk 20 au 15 kila mmoja.

This means angeifanya kazi labda ya dk 30 kwa kulipwa laki tano.

Sasa tatizo ni kwamba Nature anaamini kwa huo muda yeye anatakiwa labda kulipwa milioni 5 kwakuwa hiyo siku anayogoma kwenda alitengeneza hicho kiasi kwa dakika hizo hizo.

Hichi kiasi ndicho Clouds walikuwa wanalipa wasanii wote wanaokuja kwenye show spesho kwa eneo husika tu na siyo wanaozunguka na show Tz nzima.

Nature ni legend yeah lakini umewahi sikia "If it doesnt make money, it doesnt make sense"?
 
Nature ni mpumbavu angeenda Mikoa mitano angekuwa na Milioni 3 kasoro na stipend za kutosha... Muhim n Mshahara wa Kwanza mengine unamwambia boss kuwa umenilipa ila haitoshi
Nature hana shida wewe, kawekeza, hiyo hela apewe chidy benz teja ila sio kiroboto, Aache miradi yake akakaushe koo kwa laki 5 hapo ukute wanalazwa gest za elfu 5.
 
Jukwaani watu hugewa muda.

Mfano dk 20 au 15 kila mmoja.

This means angeifanya kazi labda ya dk 30 kwa kulipwa laki tano.

Sasa tatizo ni kwamba Nature anaamini kwa huo muda yeye anatakiwa labda kulipwa milioni 5 kwakua hiyo siku anayogoma kwenda alitengeneza hicho kiasi kwa dakika hizo hizo.

Hichi kiasi ndicho Clouds walikua wanalipa wasanii wote wanaokuja kwenye show spesho kwa eneo husika tu na siyo wanaozunguka na show Tz nzima.

Nature ni legend yeah lakini umewahi sikia "If it doesnt make money, it doesnt make sense"?
Washamba wengi humu hawamjui Nature, wala sio utoto ni vile kipindi hicho wao walikua sigimbi wanalima magimbi,

Vyuo ndio vimewaleta wengi jijini, basi wanajikuuuuta na wao wamo, ndio utaona michango mingi ya walugaluga wanaona kiroboto anastahili hiyo laki 5.
 
Hili jukwaa limevamiwa na watoto wengi sana. Ujio wa bando za bei ya kawaida na tecno unatuletea watoto wamezaliwa 2004.

Kama humjui Juma Nature endelea kumpikia mumeo hapo nyumbani
Nimeshangaa sana mkuu. Yani dogo anauliza mzee wa ugali ni nani? Hajui historia ya Kujaza ukumbi wa Diamond Jubilee Upanga.
 
Na huyo ni kwasababu tu ya aibu ndio wameamua kumtunuku tano.

Wale kina boshoo wanaosaka kujulikana sidhani kama hata laki wanapewa.

Wengine wakilipwa msosi tu na kupandishwa kwenye flight basi hiyo inatosha.

Kwasababu malengo ya wasanii wengi chipukizi ni kuanza kutengeneza fanbase. Sasa wanaona kupitia hii festival na ukubwa wa Diamond basi anaweza kupata fans wengi wakumsapoti.

Ni ngumu sana kuwaona wakina P Mawenge, Nikki Mbishi kwenye hii festival kwasababu wako smart sana kwenye ishu ya malipo.

Hawawezi kuacha familia zao nyumbani wao wakaruke ruke mikoani halafu warudi home bila hela au kufanya show kwa dau la kitonga.
 
Hayuko kwenye trend.... anataka alipwe kama walioko kwenye trend?
Angeenda tu.
Kwenye trend ndio wapi?

Unaelewa hata vibe la show?

Nature anaweza asiwe kwenye top ten zenu za kwenye maredio ila hao wote walioshika namba za juu wasiweze kumfikia kwenye show tena kwa ngoma zile zile za miaka ya nyuma.
 
Back
Top Bottom