Castr
JF-Expert Member
- Apr 5, 2014
- 35,012
- 70,201
Jukwaani watu hugewa muda.
Mfano dk 20 au 15 kila mmoja.
This means angeifanya kazi labda ya dk 30 kwa kulipwa laki tano.
Sasa tatizo ni kwamba Nature anaamini kwa huo muda yeye anatakiwa labda kulipwa milioni 5 kwakuwa hiyo siku anayogoma kwenda alitengeneza hicho kiasi kwa dakika hizo hizo.
Hichi kiasi ndicho Clouds walikuwa wanalipa wasanii wote wanaokuja kwenye show spesho kwa eneo husika tu na siyo wanaozunguka na show Tz nzima.
Nature ni legend yeah lakini umewahi sikia "If it doesnt make money, it doesnt make sense"?
Mfano dk 20 au 15 kila mmoja.
This means angeifanya kazi labda ya dk 30 kwa kulipwa laki tano.
Sasa tatizo ni kwamba Nature anaamini kwa huo muda yeye anatakiwa labda kulipwa milioni 5 kwakuwa hiyo siku anayogoma kwenda alitengeneza hicho kiasi kwa dakika hizo hizo.
Hichi kiasi ndicho Clouds walikuwa wanalipa wasanii wote wanaokuja kwenye show spesho kwa eneo husika tu na siyo wanaozunguka na show Tz nzima.
Nature ni legend yeah lakini umewahi sikia "If it doesnt make money, it doesnt make sense"?