Sinkala
JF-Expert Member
- Dec 22, 2008
- 1,773
- 688
Pia huko ni kwaoUnahisi kwanini walimfikiria?
Sababu wanajua vibe lake kwenye shows.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pia huko ni kwaoUnahisi kwanini walimfikiria?
Sababu wanajua vibe lake kwenye shows.
Thank youPia huko ni kwao
Kwa bongo fleva nimewahi kuingia show moja tu ya Juma Nature tu kula ugali. Sitakuja kuingia show yeyote isipokuwa ya NatureTuwe wakweli hivi Juma nature sasa hivi atangaze show kiingilio 2000 kwa kichwa wangapi humu wataenda?
Nusu saa mbona nyingi!Usafiri upo wamekodi ma bus. Hotel wanalipiwa ya kulala na chakula free
Juma nature kazi yake ku perform tu nusu saa
Mbona Lady jay dee anafanya matamasha yake very classic na anapata pesa kama kawaida!!!...Kizazi cha watoto wa mwaka 2000 wengi hawamtambui na ndo wahudhuriaji wa matamasha hayo!!
Muda umemuacha soko pia halimuhitaji asijilinganishe na hawa vijana wa sasa wanaoimba "bia tamu"😂
Ukweli ni kwamba binafsi hata Diamond, Ali Kiba, mjomba nchumali, sijui kina Marioo wapige show bure hapo kibarazani kwangu siwezi kwenda.. kila mtu na akipendacho.Tuwe wakweli hivi Juma nature sasa hivi atangaze show kiingilio 2000 kwa kichwa wangapi humu wataenda?
Wasafi wamemfata wakaona ana hadhi ya laki 5, ye nature kaona sio thamani yake hakuna kesi hapo.Huenda akastahili zaidi ya hiyo, ila wasafi nao ni wafanyabiashara, hivi kweli watoe mamilioni kwa juma nature? Mtu wimbo wake wa mwisho hata hatujui ulitoka lini, kwanza kibiashara kabisa asingefikiriwa kabisa
Kwahiyo kutokumjua kiroboto ndo ushamba?Washamba wengi humu hawamjui Nature, wala sio utoto ni vile kipindi hicho wao walikua sigimbi wanalima magimbi,
Vyuo ndio vimewaleta wengi jijini, basi wanajikuuuuta na wao wamo, ndio utaona michango mingi ya walugaluga wanaona kiroboto anastahili hiyo laki 5.
Si unajua ukiwa na hasira herufi huwa zinajibadili maumbo, mueleweni tu Nature!Huo mwandiko sasa,,😆😆
Hii inaashiria Wasafi Kuna kitu hakiko sawa kwa upande wa marketing department!Laki tano ni dharau kubwa
Wakati wake umeshatamatika, hata hiyo 500K nyingi sana kwake.Laki tano hapo bado hajawalipa mastage show na bado mavazi. Kiufupi ni ndogo kwa msanii kama nature.
Kuna tatizo kubwa wanapaswa kulishughulikia kabla halijageuka yai vizaHii inaashir8a Wasifi Kuna kitu hakiko sawa kwa upande wa marketing department!
Tatizo unaona kitendo cha wasafi kumualika Nature ni kama cha msaada.Huenda akastahili zaidi ya hiyo, ila wasafi nao ni wafanyabiashara, hivi kweli watoe mamilioni kwa juma nature? Mtu wimbo wake wa mwisho hata hatujui ulitoka lini, kwanza kibiashara kabisa asingefikiriwa kabisa