Juma Nature akataa kushiriki Wasafi Festival kisa malipo kidogo ya laki tano

Juma Nature akataa kushiriki Wasafi Festival kisa malipo kidogo ya laki tano

Na huyo ni kwasababu tu ya aibu ndio wameamua kumtunuku tano.

Wale kina boshoo wanaosaka kujulikana sidhani kama hata laki wanapewa.

Wengine wakilipwa msosi tu na kupandishwa kwenye flight basi hiyo inatosha.

Kwasababu malengo ya wasanii wengi chipukizi ni kuanza kutengeneza fanbase. Sasa wanaona kupitia hii festival na ukubwa wa Diamondi basi anaweza kupata fans wengi wakumsapoti.

Ni ngumu sana kuwaona wakina P Mawenge, Nikki Mbishi kwenye hii festival kwasababu wako smart sana kwenye ishu ya malipo.

Hawawezi kuacha familia zao nyumbani wao wakaruke ruke mikoani halafu warudi home bila hela au kufanya show kwa dau la kitonga.
[emoji457]
 
Washamba wengi humu hawamjui Nature, wala sio utoto ni vile kipindi hicho wao walikua sigimbi wanalima magimbi,

Vyuo ndio vimewaleta wengi jijini, basi wanajikuuuuta na wao wamo, ndio utaona michango mingi ya walugaluga wanaona kiroboto anastahili hiyo laki 5.
Cha ajabu wewe hata Nature akitangaza kiingilio buku hutothubutu kuhudhuria hiyo show, nature alikuwa zamani sasa hivi Hana jipya kwanza hao wasanii wenyewe unafikir kipi Cha ajabu ambacho Huwa wanafanya stejini zaidi ya kugandamizia kwenye playback na Kila muda kuwaambia mashabiki mikono juu!! Sema yeiaaaa, sema yoyoyo.
 
Hata kama hayuko kwenye trend, mtu hawezi kutoka Dsm au popote hadi Mtwara.
Apande jukwaani. Halafu malipo laki 5.
Bila shaka wanagharamiwa na waandaaji wa Wasafi festival,hiyo ni hela ya jukwaani tu. Aisee mi namuonea huruma, upepo umebadilika, ajitokeze kwenye platforms mbalimbmbalimbali kama hizo, aonekane..
 
Cha ajabu ww hata Nature akitangaza kiingilio buku hutothubutu kuudhuria hiyo show, nature alikuwa zamani sasa hivi Hana jipya kwanza hao wasanii wenyewe unafikir kipi Cha ajabu ambacho Huwa wanafanya stejini zaidi ya kugandamizia kwenye playback na Kila muda kuwaambia mashabiki mikono juu!! Sema yeiaaaa, sema yoyoyo.
Kiingilio kikiwa buku siwezi kwenda kweli sababu najua itajua ni local show, ila akiweka kuanzia elfu 50 naenda tena na familia yangu,

Angekua hana jipya Wasafi wasingemualika.
 
Mimi sio mwendaji wa hayo matamasha ila Nature Ana vibe lake takatifu ndyo maana wasafi wakamuita
Tatizo wengi humu wakati nature anatrend wao ndyo wanazaliwa...ndyo maana wanaona laki 5 kubwa kwa nature....Juma apewe heshima yake jamani...show yake huwezi fananisha na kina Chino
 
Mimi sio mwendaji wa hayo matamasha ila Nature Ana vibe lake takatifu ndyo maana wasafi wakamuita
Tatizo wengi humu wakati nature anatrend wao ndyo wanazaliwa...ndyo maana wanaona laki 5 kubwa kwa nature....Juma apewe heshima yake jamani...show yake huwezi fananisha na kina Chino
Thank you Missy,
Kama hawajaelewa na hapo basi tuwaache tu na kina Chino wao, lol
 
Tuwe wakweli hivi Juma nature sasa hivi atangaze show kiingilio 2000 kwa kichwa wangapi humu wataenda?
Kama inapigwa PROMO ya maana halafu amuweke jamaa INSPECTOR HAROUN
watumbiize lile dude (haya sasa nini ugomvi huo mtoto wa MZEE WA BUSARA kila siku anakula kwetu
Tukianza kula wa kwanza kudokoa nyama
Ukimkataza mamaaa anaenda kusema
Kivumbi sasa USIKU) na KUNDIZIMA la TMK wawepo mm hata KIINGILIO ELF 50 nalipa
Mana ninauhakika hao jamaa hautakaa kwenye kitako itakuwa kamua tu BANDIKA bandua na VIBAO vyao vikali

Yaaaan ile STEVE B NATURE VENTURE mafundi wa kukesha #@%%kwinyokwinyo%&*
 
Back
Top Bottom