HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 70,791
- 98,334
Wakata viuno hawatakuelewa.Kwa majukwaani bado sir nature anauwezo wa hali ya juu mno ambao haujafikiwa na msanii yoyote yule
Mitoto ya 2005 haimjui Nature
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakata viuno hawatakuelewa.Kwa majukwaani bado sir nature anauwezo wa hali ya juu mno ambao haujafikiwa na msanii yoyote yule
Kwamba atahitaji watu 250 tu apate 5milTuwe wakweli hivi Juma nature sasa hivi atangaze show kiingilio 2000 kwa kichwa wangapi humu wataenda?
Mtoto wa mjini hamjui kiroboto mzee waWa kiwango cha lami,
Utajiitaje mtoto wa mjini halafu usimjue Mzee wa Hakuna kulala, lazima uwe Mluga luga tu
Kwamba wewe na yeye nani anajua hali ya mwenzake?Nature ni mpumbavu angeenda Mikoa mitano angekuwa na Milioni 3 kasoro na stipend za kutosha... Muhim n Mshahara wa Kwanza mengine unamwambia boss kuwa umenilipa ila haitoshi
Ndo maana wasanii wakiugua wanashindwa jitibiaUsafiri upo wamekodi ma bus. Hotel wanalipiwa ya kulala na chakula free
Juma nature kazi yake ku perform tu nusu saa
Umezaliwa 2005 utamjuaje Nature?Huyo juma ndio nani kwanza?
Sasa atafanyaje mashabiki wa wa nature ni wahenga kwa sasa hawawezi kuja kwenye hizi show wanaojaa ni watoto waliozaliwa 2005 bora mwenzao jd na kina banana zoro waliamua kupiga mziki wa live sasa wadau wapoHata ningekuwa mimi ningegoma unafanyaje show kwa laki tano dharau hizo
[emoji457]Na huyo ni kwasababu tu ya aibu ndio wameamua kumtunuku tano.
Wale kina boshoo wanaosaka kujulikana sidhani kama hata laki wanapewa.
Wengine wakilipwa msosi tu na kupandishwa kwenye flight basi hiyo inatosha.
Kwasababu malengo ya wasanii wengi chipukizi ni kuanza kutengeneza fanbase. Sasa wanaona kupitia hii festival na ukubwa wa Diamondi basi anaweza kupata fans wengi wakumsapoti.
Ni ngumu sana kuwaona wakina P Mawenge, Nikki Mbishi kwenye hii festival kwasababu wako smart sana kwenye ishu ya malipo.
Hawawezi kuacha familia zao nyumbani wao wakaruke ruke mikoani halafu warudi home bila hela au kufanya show kwa dau la kitonga.
Cha ajabu wewe hata Nature akitangaza kiingilio buku hutothubutu kuhudhuria hiyo show, nature alikuwa zamani sasa hivi Hana jipya kwanza hao wasanii wenyewe unafikir kipi Cha ajabu ambacho Huwa wanafanya stejini zaidi ya kugandamizia kwenye playback na Kila muda kuwaambia mashabiki mikono juu!! Sema yeiaaaa, sema yoyoyo.Washamba wengi humu hawamjui Nature, wala sio utoto ni vile kipindi hicho wao walikua sigimbi wanalima magimbi,
Vyuo ndio vimewaleta wengi jijini, basi wanajikuuuuta na wao wamo, ndio utaona michango mingi ya walugaluga wanaona kiroboto anastahili hiyo laki 5.
Bila shaka wanagharamiwa na waandaaji wa Wasafi festival,hiyo ni hela ya jukwaani tu. Aisee mi namuonea huruma, upepo umebadilika, ajitokeze kwenye platforms mbalimbmbalimbali kama hizo, aonekane..Hata kama hayuko kwenye trend, mtu hawezi kutoka Dsm au popote hadi Mtwara.
Apande jukwaani. Halafu malipo laki 5.
He is 37 not 45 years old thats whyLegend kama yeye anapewaje laki tano, kweli dharau aisee.
Kiingilio kikiwa buku siwezi kwenda kweli sababu najua itajua ni local show, ila akiweka kuanzia elfu 50 naenda tena na familia yangu,Cha ajabu ww hata Nature akitangaza kiingilio buku hutothubutu kuudhuria hiyo show, nature alikuwa zamani sasa hivi Hana jipya kwanza hao wasanii wenyewe unafikir kipi Cha ajabu ambacho Huwa wanafanya stejini zaidi ya kugandamizia kwenye playback na Kila muda kuwaambia mashabiki mikono juu!! Sema yeiaaaa, sema yoyoyo.
Thank you Missy,Mimi sio mwendaji wa hayo matamasha ila Nature Ana vibe lake takatifu ndyo maana wasafi wakamuita
Tatizo wengi humu wakati nature anatrend wao ndyo wanazaliwa...ndyo maana wanaona laki 5 kubwa kwa nature....Juma apewe heshima yake jamani...show yake huwezi fananisha na kina Chino
Daslam siyo mjini mbona?Wa kiwango cha lami,
Utajiitaje mtoto wa mjini halafu usimjue Mzee wa Hakuna kulala, lazima uwe Mluga luga tu
Show ya UGALI ulikuepo? Usisikie bwana yule kuitwa Legend ukachukulia poaUsafiri upo wamekodi ma bus. Hotel wanalipiwa ya kulala na chakula free
Juma nature kazi yake ku perform tu nusu saa
Kama inapigwa PROMO ya maana halafu amuweke jamaa INSPECTOR HAROUNTuwe wakweli hivi Juma nature sasa hivi atangaze show kiingilio 2000 kwa kichwa wangapi humu wataenda?
Maradhi🥶🥶Kama wanalipiwa usafiri, msosi, maradhi, na stage anapanda chini ya 15 minutes sio mbaya.
Ni JijiDaslam siyo mjini mbona?
Yaani jf siku hizi hovyo kabisa Unaweza ukaumiza kichwa kumbe unabishana na kitoto cha 2006 kinamtetea rolemodel wake chinomanawan 😅😅😅😅Thank you Missy,
Kama hawajaelewa na hapo basi tuwaache tu na kina Chino wao, lol