Mrs Thabo Bester
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 3,145
- 7,921
😆🤐Mbogwe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😆🤐Mbogwe
Hao wasanii sijawahi kuwaelewa na siji kuwaelewa.Ukweli ni kwamba binafsi hata nyandomo diamond, ali kibakuli, mjomba nchumali, sijui kina marioo wapige show bure hapo kibarazani kwangu siwezi kwenda.. kila mtu na akipendacho.
Hao wasafi kumfata nature kuna jambo wameliona na nature kakataa sababu anajua thamani yake.
Makao makuu ya wilaya yamejengwa pale Ushirika, kama unaelekea Geita
Kama ni kazi alikwisha ifanya mkuu, saizi ndio muda inatakiwa avune notiBila shaka hajui pesa.....!
MUHIMU KAZI....PESA ZINAFUATA BAADAE.
TRUST ME.
Sawa aendelee kuvuna🙂Kama ni kazi alikwisha ifanya mkuu, saizi ndio muda inatakiwa avune noti
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Mbona kulikuwa na story et Nature ni Tajiri
duuuuuhNi mkulima wa maharage wilayani Mbogwe, tafara ya Kashelo hapa kijijini Mjegejo..🙂
Itakuwa we ni kirobotoWashamba wengi humu hawamjui Nature, wala sio utoto ni vile kipindi hicho wao walikua sigimbi wanalima magimbi,
Vyuo ndio vimewaleta wengi jijini, basi wanajikuuuuta na wao wamo, ndio utaona michango mingi ya walugaluga wanaona kiroboto anastahili hiyo laki 5.
Aisee wewe unadharau kazi ya mwenzako kwani kutrend ndio ulipwe hela ndefu ninguvu time yako aisee . Laki tano itamsaidia nini aiseeHayuko kwenye trend.... anataka alipwe kama walioko kwenye trend?
Angeenda tu.
Kama wakati wake umetamatika sasa walimhitaji wa nini?Wakati wake umeshatamatika ,hata hiyo 500K nyingi sana kwake.
Ilikua Ushirombo wilayani Bukombe, ya kugawanywa na kwenda Mbogwe...☺duuuuuh
Mkuuu unapafahamu kashelo?
Tangazo lenyewe sijui kama nitaliona.Tuwe wakweli hivi Juma nature sasa hivi atangaze show kiingilio 2000 kwa kichwa wangapi humu wataenda?
Sio mbaya kwako mwenye shida ya pesa ila Nature hana shida ya hela na anaijua thamani yake, hao Wasafi mbona hawakumuita Soggy Doggy au Wagosi wa Kaya,Kama wanalipiwa usafiri, msosi, maradhi, na stage anapanda chini ya 15 minutes sio mbaya.
Ulichokifanya sio kizuriNgoja tuone uamuzi watakaochukua moderators. Mimi kazi yangu nimeshaifanya, nimeiripoti post husika na kuwatag.
Wa kiwango cha lami,Kwahiyo kutokumjua kiroboto ndo ushamba?
Ufahamu mdogo. Kuna trend & hadhi (ukubwa). Ukishakuwa msanii mkubwa tayari una fanbase yako, so hata show hufanyi hovyo hovyo, unakuwa selective kwa hadhi yako, knowing msanii mkubwa tayari ameshajijenga kimaisha. Ile show ya Honors ndio inawafaa kina nature.Hayuko kwenye trend.... anataka alipwe kama walioko kwenye trend?
Angeenda tu.