Angesema hatokuwepo kwenye show inatosha mbona diamond kuna show anakataa kufanya na hajawahi kusema amelipwa kiasi fulani Ndio Maana hajafanya, alichofanya nature ni utoto makubaliano yoyote yanabaki kuwa wewe na unayekubaliana nae kukubali au kukataa ni sehemu ya makubaliano sio ugomviShida yeye ni legend na ana wapenzi wengi wa nyimbo zake kwa hio ni kivutio cha show mwingine anaenda kwenye show kumuona Nature tu akiperfom alafu basi akishuka na yeye anaondoka au hujui?
Hadhi muhimu sana.Jukwaani watu hugewa muda.
Mfano dk 20 au 15 kila mmoja.
This means angeifanya kazi labda ya dk 30 kwa kulipwa laki tano.
Sasa tatizo ni kwamba Nature anaamini kwa huo muda yeye anatakiwa labda kulipwa milioni 5 kwakua hiyo siku anayogoma kwenda alitengeneza hicho kiasi kwa dakika hizo hizo.
Hichi kiasi ndicho Clouds walikua wanalipa wasanii wote wanaokuja kwenye show spesho kwa eneo husika tu na siyo wanaozunguka na show Tz nzima.
Nature ni legend yeah lakini umewahi sikia "If it doesnt make money, it doesnt make sense"?
Laki 5? Nivuje jasho legend laki 5 wewe unaingiza MAMILIONIAngesema hatokuwepo kwenye show inatosha mbona diamond kuna show anakataa kufanya na hajawahi kusema amelipwa kiasi fulani Ndio Maana hajafanya, alichofanya nature ni utoto makubaliano yoyote yanabaki kuwa wewe na unayekubaliana nae kukubali au kukataa ni sehemu ya makubaliano sio ugomvi
Kwa kua wewe kwako nyingi Si ndioWakati wake umeshatamatika ,hata hiyo 500K nyingi sana kwake.
Billnas ana jina kubwa kuliko nature kwasasa labda ungeniambia nature wa zamani Ndio Maana Wasafi wamemvalue kwa hiyo helaWenye jipya ndio wamekubali malipo ya kausha damu ambayo Nature kayaona hayana maslahi kwake.
Wakina Bilnas ambao wewe unaweza kuwaona wapo kwenye peak ndio wamekubali malipo hayo.
Unaweza ukawa una nyimbo zilizo trend lakini zisikusaidie kuamsha kwenye show.
Mfano mzuri tu Wakazi sio msanii ambaye nyimbo zake zinaingia kwenye trend lakini kwenye show ya live band sijamuona msanii wa Hip Hop Afrika mashariki wakumfikia.
Kuburudisha kwenye show hakutegmeani na jinsi nyimbo zako zipo kwenye currently peak.
Nimeweka mfano wa Best Nasso aliyefanya show kwenye jukwaa na wasanii wengi ambao wapo kwenye mainstream.
Lakini ilipofika muda wake wakupanda stejini aliwafunika wote tena kwa ngoma zile zile za zamani.
Sure....Kwa majukwaani bado sir nature anauwezo wa hali ya juu mno ambao haujafikiwa na msanii yoyote yule
Anao?Laki tano hapo bado hajawalipa mastage show na bado mavazi. Kiufupi ni ndogo kwa msanii kama nature.
Ana magoma ambayo yana vibe yani sio rahisi kwa mtu aliyezaliwa miaka ya 2000 kuweza kumuelewa.Hawamjui nature hawa Leo hii kwenye show nature anafunika balaa ...ana balaa kiroboto
[emoji3526][emoji3526][emoji1][emoji1][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji119][emoji119][emoji119]Wa kiwango cha lami,
Utajiitaje mtoto wa mjini halafu usimjue Mzee wa Hakuna kulala, lazima uwe Mluga luga tu
Kama ni rahisi na yeye angeandaa tamasha lakeLaki 5? Nivuje jasho legend laki 5 wewe unaingiza MAMILIONI
[emoji1][emoji38][emoji38][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Yaani jf siku hizi hovyo kabisa Unaweza ukaumiza kichwa kumbe unabishana na kitoto cha 2006 kinamtetea rolemodel wake chinomanawan [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Haitwi asiyehitajika, waandazi wameona anahitajika ndio sababu akaitwaAnachosahau Kila bidhaa inauzwa kutokana na uhitaji wa wateja na ubora wake kwa sasa kiroboto hata laki 5 ni nyingi sana kwake
Duh!🤣walugaluga
Hahahaaaa...ulionaaa...hawamjui nature ,hawamjui Hata kidogo Mimi bwana enzi za usichana fiesta nilikua nikienda nacheza mpk Asubuhi nyimbo zote naimba Sasa hv niwekee 100m niimbe nyimbo moja ya msanii yoyote mpya siijuiHumjui nature dogo weka shoo nature na msanii wa sasa yoyote nakuhakikishia nature atakuumbua brother muache tu
Cc: reymage
Ndiyo, ni kweli wasanii wa zamani Wana vibe kwenye stage. Lakini mashabiki hawajui Hilo. Mashabiki huwa wanafuata wasanii wanaotrend.Tatizo unaona kitendo cha wasafi kumualika Nature ni kama cha msaada.
Kwenye show hakunaga hizi story za wimbo wako wa mwisho.
Angalia juzi hapo Best Naso aliwafunika mainstream wote kwenye show. Na hadi Roma mwenyewe ali appreciate.
Wasanii wa zamani ndio wanaoweza kuleta vibe zaidi kwenye show kuliko hao mainstream artists.
Kwasababu miziki ya zamani kwanza huamsha kumbukumbu na hisia ya kipekee kwa kukumbuka nyakati za nyuma kipindi huo wimbo una hit.
Kwa hiyo kama unafikiri Nature alipaswa kukubali malipo ambayo kwake aliona hayana maslahi kwa kigezo cha kutokuwa na ngoma mpya ambayo ipo kwenye chart basi utakuwa unakosea.
Na shoo zote nature anakua mwishoni au WA pili kutoka mwisho ana balaa yule Mzee..Mimi nshaenda sana fiesta !!nature anakuumbua na wasanii wako ana uwezo WA kuimba bila kuchoka mda mrefu kaahh...sijaona MimiAna magoma ambayo yana vibe yani sio rahisi kwa mtu aliyezaliwa miaka ya 2000 kuweza kumuelewa.
Halafu wengi wanaompinga Nature kwa kigezo cha hana nyimbo mpya ambayo ipo kwenye rotation, wengi wanaonesha hata hawajawahi kuhudhuria kwenye show.
Itakuwa ndio type ya wale watu amabo kwenye show wanazoenda ni zile ambazo CCM kwenye kampeni zake ilikuwa inawabeba wasanii.
So baadhi ya watu wakaona yes this is perfect angle enjoy the show.
Nature kikawaida usimruhusu aanze kwenye show utafanya watu waanze kuwaona wasanii wanaofata wanafanya futuhi.
Nature muweke mwishoni ukimuanzisha utapata lawama kwa wasanii kwanini umwadhalilisha