George Betram
JF-Expert Member
- Oct 10, 2015
- 4,672
- 6,272
huyu jamaa anayejiita shabiki wa mziki mzuri hii ndo point yake kubwa sana ukimgusia suala la TUZO walizozichukua Mondi na Kiba...lakin mkuu mbona washikilia sana tuzo za ktma VIP mbona huongelei afrima na afrimma ??
Harmonize mkali.Hivi ali kiba na harmonize nani mkali??
Kiba siyo saiz yenu pigeni keleleeee laleniii tukaneniiiii bt ukweli unasimama pale kwamba diamond ni msanii machachari wakati Ali kiba ni mwanamuziki mahiri.huyu jamaa anayejiita shabiki wa mziki mzuri hii ndo point yake kubwa sana ukimgusia suala la TUZO walizozichukua Mondi na Kiba...
yaani kwake yeye zile TUZO ni kigezo kikubwa cha kuwa Kiba ni zaid ya Mondi...
inashangazaaaaaaa..!!!
nyimbo za diamond unazo pia kwenye kimeo chako..!?Yaah na ndo maana kwnye handset yng hukuti nyimbo za msanii mmoja tu Mzee kwanza ringtone yangu ni sukachile ya defao.. Utanambia nn
Hakuna ngoma yake naipenda kama lala salama na shake ua bumbumnyimbo za diamond unazo pia kwenye kimeo chako..!?
Na hapa naskiza mtaa kwa mtaa rmx Mzee karibuunyimbo za diamond unazo pia kwenye kimeo chako..!?
Sawa...Hakuna ngoma yake naipenda kama lala salama na shake ua bumbum
Video kiba hayupo vizur Mzee na kucheza mzitoSawa...
me naikubali LUPELA...
ingawa KIDEO kilikua cha OVYO..!
Ila naona kwenye unconditionally bae ya sauti soul ndo kachezaSawa...
me naikubali LUPELA...
ingawa KIDEO kilikua cha OVYO..!
kweli kwenye ile video amefanya kweli...Ila naona kwenye unconditionally bae ya sauti soul ndo kacheza
Kwenye kucheza kuimba je?kweli kwenye ile video amefanya kweli...
yaani kawa kama Mondi Bin Laden...
Zile sauti mond anapiga zile mkuu?kweli kwenye ile video amefanya kweli...
yaani kawa kama Mondi Bin Laden...
mmmh...Zile sauti mond anapiga zile mkuu?
zile sauti kiukweli ni Sheedah..!Zile sauti mond anapiga zile mkuu?
Hahahahaaaaa nlitaka kujua tu kiongoz bt nmekuelewa tayar Mzeemmmh...
naona umetafuta pakunikamata..!
aya umeshinda..!
Ahsante ndugu yangu na mm nliwaza hivyozile sauti kiukweli ni Sheedah..!
sawa mkuu...Ahsante ndugu yangu na mm nliwaza hivyo
Nmemskia Raymond Mzee... Mond amefanya kitu kizur sana awanyanyue madogo then kaz aanze kupiga kwenye studio yake bt kwa jina lake lilivyokubwa nlipenda aanze kupiga live band atatisha sana mzeesawa mkuu...
karibu WCB,team no stress..!