Foxhound
JF-Expert Member
- Dec 15, 2013
- 28,710
- 76,243
Ndio, wewe si una 52 umepunguza kumi ili uwe sawa na mimi! 😂😂😂[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]unata kusema mimi na wewe mkubwa mie?
Now nacheza na 20+
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio, wewe si una 52 umepunguza kumi ili uwe sawa na mimi! 😂😂😂[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]unata kusema mimi na wewe mkubwa mie?
Now nacheza na 20+
Sawa kaka,nacheza na hiyo[emoji23],Ndio, wewe si una 52 umepunguza kumi ili uwe sawa na mimi! [emoji23][emoji23][emoji23]
Unahitaji wangapi?Sawa kaka,nacheza na hiyo[emoji23],
Bado nikuwe na mtoto sasa[emoji7]
. mie nahitaji sita mseto[emoji23]Unahitaji wangapi?[
/QUOTE]Wewe unao wangapi?
Miaka 37 maana yake alizaliwa 1986,...Juma Nature ameanza kutamba na kusikika kama sijakosea sana kuanzia mwaka 2000 hivi,... inamaana alienda kurekodi kwa Majani akiwa na miaka 14 au 15 au 16?! Kwa Majani huyu huyu alomzaba vibao afande Sele?! Napenda sana ngoma zake na style yake ya rap katuni lakini huu uongo ungeishia kwenye miaka 40 ningemwelewa lakini kwa 37 hapana hii ni kamba ya katani kabsaMkongwe wa muziki wa bongofleva, Juma Kassim Kiroboto maarufu kama Juma Nature anasema watu waache kumzushia kama amezeeka wakati ndio kwanza ana miaka 37 hajafika hata miaka 40. Yeye bado kijana mdogo wasimuite mzee.
My take:
Nature ameingia kwenye mkumbo wa dada yetu Wema Sepetu, ambae hajawahi kuvuka miaka 28 tangu mimi nikiwa mdogo. Kwanini mastaa wanapenda kurudisha miaka nyuma?
Uzee ni karama...Kweli nimeamini hakuna anayependa Uzee yaani hadi Nature anaukwepa Uzee 🙌
Wanasema kama hujashiba kwenye sahani huwezi kushiba kwenye sufuria
Sita awa gita au sita kama sita! 🤦🤦🤦Tuunge undugu
. mie nahitaji sita mseto[emoji23]
👆👆👆 Babu yako analijua hili!?Tuunge undugu
. mie nahitaji sita mseto[emoji23]
Hakika MkuuUzee ni karama...
Uzee ni mibaraka... (maana si wote hupata bahati ya kuufikia!)
Na haukwepeki.....
By da way....
➡️➡️➡️ Kuzeeka ni wajibu ila kuchakaa ni uzembe wako 😁😁😁🚶♂️🚶♂️🚶♂️
Huyo huyo mkuu ila ameomba asikilizwe kwamba ana miaka 37 tu! [emoji1787]Huyu au yupi?View attachment 2656227
Niwache!👆👆👆 Babu yako analijua hili!?
Cc: Shimba ya Buyenze
Huyo ni 45+,uzeee mbaya lakini lazima uzeekeMwili wa nje ndio unamdanganya,ila kwa ndani unasoma miaka 47,ni swala la muda tu,atakapoanza kutembea na bakora itajulikana nani mkweli...
Arest in peace tu hamna namnaClassmate Unazingua
Umenizid kidogo tuMkuu namimi July napindua meza asee ila umenizidi kidogo sana 3yrs.
Nature ni my brother, haiwezekani mimi dogo nimzidi umri brotherMkongwe wa muziki wa bongofleva, Juma Kassim Kiroboto maarufu kama Juma Nature anasema watu waache kumzushia kama amezeeka wakati ndio kwanza ana miaka 37 hajafika hata miaka 40. Yeye bado kijana mdogo wasimuite mzee.
My take:
Nature ameingia kwenye mkumbo wa dada yetu Wema Sepetu, ambae hajawahi kuvuka miaka 28 tangu mimi nikiwa mdogo. Kwanini mastaa wanapenda kurudisha miaka nyuma?