Sharamdala
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 3,558
- 6,538
Alafu Okwi ana 30 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Picha linaanza hapoKama Nature ana miaka 37 basi Sinta atakuwa na 34 kushuka chini 😊
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alafu Okwi ana 30 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Picha linaanza hapoKama Nature ana miaka 37 basi Sinta atakuwa na 34 kushuka chini 😊
Naona umepoteza kumbukumbuku uncle......Kama Nature ana miaka 37 basi Sinta atakuwa na 34 kushuka chini 😊
Ni mmama ndiyo ,bado kuwa bibi tu kuanzia miaka 20 ijayo.Duh! Nilikuwa nakuona kama mmama hivi kumbe duh! Nisalimie kaka yako!
Aisee kumbe nimekula chumvi kiasi 😆😆😆😂😂😂🤣🤣🤣🏃🏾♂️🏃🏾♂️🏃🏾♂️🏃🏾♂️🚬🚬🚬
Ndoto yangu hiyo[emoji23]Sita awa gita au sita kama sita! [emoji1751][emoji1751][emoji1751]
Mweeeeh unajiharibia sasa,si wajua hautakiwi eeeh[emoji22][emoji115][emoji115][emoji115] Babu yako analijua hili!?
Cc: Shimba ya Buyenze
Namuenjoy tu babu, mie siwezi unga undugu na fox[emoji23][emoji23]Niwache!
Umem-manipyuleti mjukuu wangu. Eti aunge undugu na wewe. Ili iweje?
Mjukuu ni nini hiki ninachokisoma hapa. Huyu mharibifu uunge naye undugu ili iweje? Unataka tukutenge? [emoji51][emoji51][emoji51][emoji51][emoji51][emoji51][emoji51][emoji51][emoji51][emoji51][emoji51][emoji51][emoji51][emoji51][emoji51][emoji51][emoji51]
Mkaldayo uko vizuri mkuu.Umenizid kidogo tu
Naona umepoteza kumbukumbuku uncle......
2019 mtoto 6nta alihojiwa na akasema ndio kwanza kafukisha miaaka 23...🤣🤣
Hii block 47 sema kateleza tuMkongwe wa muziki wa bongofleva, Juma Kassim Kiroboto maarufu kama Juma Nature anasema watu waache kumzushia kama amezeeka wakati ndio kwanza ana miaka 37 hajafika hata miaka 40. Yeye bado kijana mdogo wasimuite mzee.
My take:
Nature ameingia kwenye mkumbo wa dada yetu Wema Sepetu, ambae hajawahi kuvuka miaka 28 tangu mimi nikiwa mdogo. Kwanini mastaa wanapenda kurudisha miaka nyuma?
Mkuu, mimi nafuatilia kila kitu hapa duniani. Nipo deep kila idara🤣🤣KR Mulla anasema katika mstari wake mmoja " walishaita mechi ili watupige, akina Mohamed Kauzibe"...
kumbe mpaka wewe mwanasheria unawajua akina Doro
Ebu fanya kitembelea tena hiyo mitaa ya fayakat tuone kama naweza bahatisha mawasikiano yake mjomba...😊Hahah yule Sinta hawezi kuwa 23 mzee baba...
Miaka fulani hapo kabla Covid haijachachamaa nilikuwa namuona sana mitaa ya Fayakat Tower hapo, ukimuona hivi tayari kashafikia umri wa kuwa lishangazi
Huyu au yupi?View attachment 2656227
Jf members hawazeekagiKweli nimeamini hakuna anayependa Uzee yaani hadi Nature anaukwepa Uzee [emoji119]
Wanasema kama hujashiba kwenye sahani huwezi kushiba kwenye sufuria
Itakuwa mnalingana kweli. Yeye aliamua kuimba mapema na wewe ukaamua kusoma[emoji1787][emoji1787]Hahhah,mimi nina miaka 18.Huyu Juma mimi nipo primary ninamsikia mimi nina 36 na July ninagonga 37.Yeye ana 37 haya bwana.