qn of sheba
JF-Expert Member
- Sep 13, 2011
- 3,230
- 1,380
Unadhirisha ushamba wako kabisa kuna watu wanaishi maisha mazuri Mwananyamala kuliko O bay by the way mimi ni kaka yako mkubwa sana mwaka uliokua darasa la sita mimi ndio nilikua nimeshamaliza chuo na naishi kwangu nina mke na watoto ila ni mtoto wa mjini na sijakulia hizo sehemu ulizotaja na kutokana na u born town nina marafiki niliokua nao ambao nina fight waachane na uteja na siwezi kuwatenga au kukashifu.
Usipende kudharirisha wanawake wenzio kwa nini usiseme Baba yangu ndio amedandia treni?Ha ha ha eti hujui babangu alikua nani so wewe unajua wa kwangu?unadhani baba yako akiwa DC Tandahimba ndio inakuzuia kuwa mshamba?Hakuna anayekashifu watu waliozaliwa mikoani hata mimi nimezaliwa mkoani nimekulia Dar lakini issue ni kujifanya mnajua watu mjini tena watu wazima wakati mwaka 2001 ulikua darasa la sita Mtwara.Dont panic
Kumbe unakiri kuwa ulikuwa teja ok endelea kuwasaidia wenzio ili wabadilike kama wewe maana naona unakaribia upata wajukuu ila unavyoviwaza na kuandika hata mwanao anakushangaa..
Kumbe unajijua mlidandia treni mkaja mjini na kujifanya mnajua mji juliko wenyeji unajidhalilisha wewe mwenyewe..
Sina tym ya kubishana na watoto wenye akili kama zako wendo design ileile ya ule wimbo wa wateule "bado yukovilevile" hadi leo unawaza kuzamia meli ufike ulaya wenzako wanapaa pipa kisa uborn town wakuja hao wametoka kimaisha wewe nado uko vilevile eti mtoto wa mjini.
Mtoto wa mjini hata hela ya Topaz hadi leo unaomba kwa wazazi wako. Embu nipishe hapa kwanza jina lako lenyewe lime kaa Kimawiha na mlivyokuwa washamba sijui lini mtaendelea.