Juma Nature: Nyota kubwa inayoelekea kuzimika

Juma Nature: Nyota kubwa inayoelekea kuzimika

Anayesema Nature hajui, hajui muziki.Msikilize nature kwenye ngoma inayoitwa "jinsi tulivyo" aliyoshirikishwa na Manyema Family ujue habari yake.

Au wengine mmejua muziki juzi?
 
Nature hana kipaji Wala sio msanii wa kiwango...alitamba kwa sababu kulikuwa hakuna vipaji vikubwa those days

umepofushwa na upepo wa new skool....unasema necha alitamba coz hakukuwa na watu wenye vipaji?? nature alikuwa anafunika stage iliyo wasanii km t.i.d, qchief, dully sykes, bushoke,mandojo&domokaya,mwanaFa,solothang,prof jay,sugu,rayC,jay moe ,mangwea,necessary noise yani hao wote walikuwa hawawezi kusimama mbele ya nature....au uniambie hao niliowataja na wasanii wa sasa nani wanavipaji vikubwa...nature ndio bongofleva yani ukiskliza ule uimbaji wa wengi wa wasanii wa ss wamechukua uimbaji wa nature ule ukaswida plus u-jazz plus u-traditional...kipaji cha nature muulize Joseph Kusaga
 
hata angekuwa nazo 50...kwa kuwa hajui ndio maana hata hizo santuri hazijamsaidia kumkwamua kimaisha...

we kipapa kweli...unasema mzk haujamsaidi nature kimaisha?? nature ndio msanii wa kwanza Tanzania kumiliki Benz from kutembea kwa miguu tmk to mwenge ,,amejenga nyumba kitambo na anaishi kwake kwa huu huu muziki,,ana miradi yake mingi tu kwa huu huu muziki,,,anapiga show mpaka kesho kwa huo muziki wake unaouponda.....muulize Lil Kim anaheshimu kipaji cha nature kwa kilichotokea leaders alipofutiwa aibu.
 
Anayesema Nature hajui, hajui muziki.Msikilize nature kwenye ngoma inayoitwa "jinsi tulivyo" aliyoshirikishwa na Manyema Family ujue habari yake.

Au wengine mmejua muziki juzi?

kweli bab awa watoto muziki wameujua juzi.. historia ya kujengwa kwa bongofleva mchango wa nature ni % kubwa sana,hit nyingi zilizoisimamisha bongofleva zilikuwa na sauti ya nature...kwa anayebisha tumuorodhesheee...Nature ni msanii pekee aliowai kuijaza diamond jubilee mara tatu na watu wakakosa pakukanyaga haijawai kutokea ,,ni nani sasa anaweza kuijaza ata maisha club na ikafurika kwa awa wa sasa? ivi wanajua ata msanii wa kwanza toka bongo kuchukua tuzo ya Chanel O? ivi wanajua ata msanii wa kwanza toka bongo kuwa nominated mtvbase awards? watoto wajuzi awa sio kosa lao,wameyasikia awajayashuudia maajabu ya nature..
 
Ha ha ha hueleweki unaongea nini!!Ungekua unanifahamu ungemeza maneno yako,sijawahi kutumia kilevi chochote na haiwezi kunifanya niwatenge wanaotumia utakua ni unafiki badala yake ninawaambia madhara yake,hiyo inaitwa Hit where it hurts naona povu linakutoka usije ukaingia mwezini bure tupotezeane,mimi ninawalisha kula kulala kama wewe waliomaliza chuo hawana ajira wanaokesha Blogs, FB na IG wa5 for your info

Bidada naona bado unawashwa sana na kubishana humu hayo maisha yako yakulisha familia yamekujaje humu dada.


By the way kama hao wanao kesha mitandaoni ni wale waliomaliza chuo na kukosa ajira na wewe umeshajidhihirisha kuwa ur among of jobless na umri umekutupa tafuta kazi hata kibarua usije walaza wanao kwa njaa. Tchao
 
Kalieni majungu na masufuria necha anapiga show zake kama kawa na anatengeneza pesa yake inayompa mkate wake wakila siku.


anapigia wapi?
Kwenye show za kijanja huwa tunazama...na huyo jamaa hatumuoni...
 
Dada huku hapakufai hii sio taarabu kama kuna wanaokufurahisha au wanaokukunaga Nature sio sample yako na utazidi kumchukia kwa wivu usio na maana achana nae kwani lazima usikilize nyimbo zake tuachie sisi tunaojua thamani ya kazi zake na heshima anayostahili


umeacha kulala na mama yako lini?
Maana mwanaume aliekamilka hawe kusanda changamoto ndogo kama hizi kisha aanze matusi.

Ukikupwita njoo tena..
 
we kipapa kweli...unasema mzk haujamsaidi nature kimaisha?? nature ndio msanii wa kwanza Tanzania kumiliki Benz from kutembea kwa miguu tmk to mwenge ,,amejenga nyumba kitambo na anaishi kwake kwa huu huu muziki,,ana miradi yake mingi tu kwa huu huu muziki,,,anapiga show mpaka kesho kwa huo muziki wake unaouponda.....muulize Lil Kim anaheshimu kipaji cha nature kwa kilichotokea leaders alipofutiwa aibu.


ukiona mtu anajibu hoja kwa matusi basi ujue yai limeshuka sasa anataka kubaishiwa tu abebe mimba.

Na Mvua hizi lazima ukajiuze barabarani...mie hunipati ng'o.
 
The law of nature- hkn pa kwenda baada kufikia the peak, lzm ushuke! Yuko wp Ja rule? wapi Ashanti? Lil kim? R.kelly? Snoop wa leo sio yule wa MURDER WAS THE CASE! Hata BIG na 2PAC wangekuwa hi wasingeweza kujaza tena kumbi zao km Madison square
 
ukiona mtu anajibu hoja kwa matusi basi ujue yai limeshuka sasa anataka kubaishiwa tu abebe mimba.

Na Mvua hizi lazima ukajiuze barabarani...mie hunipati ng'o.

utajibu nini hapo na umejikuta hujui chochote kuhusu huu muziki??...lazima utafute sabb ya kukimbia.....kaa karibu na baba zako tukufundishe muziki,,ili siku nyingine usitoe boko km hapo mwanzo.
 
The law of nature- hkn pa kwenda baada kufikia the peak, lzm ushuke! Yuko wp Ja rule? wapi Ashanti? Lil kim? R.kelly? Snoop wa leo sio yule wa MURDER WAS THE CASE! Hata BIG na 2PAC wangekuwa hi wasingeweza kujaza tena kumbi zao km Madison square

What about Jayz?
 
utajibu nini hapo na umejikuta hujui chochote kuhusu huu muziki??...lazima utafute sabb ya kukimbia.....kaa karibu na baba zako tukufundishe muziki,,ili siku nyingine usitoe boko km hapo mwanzo.[/QUOTE)
achaneni nae si unamuona mtu mwenyewe akili kisoda kwa majibu yake abayotoa...
 
wakuu old skul msibishane na watoto wasiojua mziki ulipotoka,hawa ni mabibe tu,Nature mtu wa kazi.tatizo wanachanganya kati ya wasanii wa makashfa na wasanii decent ka Juma
 
utajibu nini hapo na umejikuta hujui chochote kuhusu huu muziki??...lazima utafute sabb ya kukimbia.....kaa karibu na baba zako tukufundishe muziki,,ili siku nyingine usitoe boko km hapo mwanzo.


thats good.
Kumbe kuandika kama mtu ulietahiriwa unaweza eeh?

Sasa mbona ulikurupuka kama umekeketwa?

All in all rudi mwanzo ukajibu post yangu ya kwaanza kabisa.
 
Hoja ni kuwa Nature kaisha...
Na hata alivyotamba awali aliwaokota washabiki maandazi ...
Leo hii watu wamejanjaluka na hawaburuzwi na mashairi mepesi kama kijasho kitakushuka teremka chemka au sijui ni muhtahasali wa habari shetani au mafuvu gwala mfano wa tofali...

Njoeni na hoja na sio vioja.
Mimi nimesema wazi bila woga kuwa jamaa hakuwa na vina wala mizani.
Sasa ni jukumu lenu kuja kuthibitisha kuwa jamaa alikuwa navyo vitu hivyo.

------- nyie mnakuja hapa na ujanja ujanja ooh jamaa alikuwa anajuwa, ooh jamaa kaimba na Profesa, ooh jamaa ana albam yake inaitwa ugali, ooh jamaa ni mkongwe...----off
 
Hoja ni kuwa Nature kaisha...
Na hata alivyotamba awali aliwaokota washabiki maandazi ...
Leo hii watu wamejanjaluka na hawaburuzwi na mashairi mepesi kama kijasho kitakushuka teremka chemka au sijui ni muhtahasali wa habari shetani au mafuvu gwala mfano wa tofali...

Njoeni na hoja na sio vioja.
Mimi nimesema wazi bila woga kuwa jamaa hakuwa na vina wala mizani.
Sasa ni jukumu lenu kuja kuthibitisha kuwa jamaa alikuwa navyo vitu hivyo.

------- nyie mnakuja hapa na ujanja ujanja ooh jamaa alikuwa anajuwa, ooh jamaa kaimba na Profesa, ooh jamaa ana albam yake inaitwa ugali, ooh jamaa ni mkongwe...----off

Kaka, nature ndio msanii pekee ambae hawezi kuchuja, bado ni lulu mpaka kesho. Ni msanii ambae hata asipotoa single anapata mialiko ya kufanya show na akapigiwa shangwe la kutosha tofauti na wasanii wengine, kwahiyo nature hawezi kupotea leo wala kesho ukilinganisha na wasanii wengine brother. Bado nature anaweza sana...cha kumshauri labda arudie style yake ya zamani.
 
Back
Top Bottom