Kaka, nature ndio msanii pekee ambae hawezi kuchuja, bado ni lulu mpaka kesho. Ni msanii ambae hata asipotoa single anapata mialiko ya kufanya show na akapigiwa shangwe la kutosha tofauti na wasanii wengine, kwahiyo nature hawezi kupotea leo wala kesho ukilinganisha na wasanii wengine brother. Bado nature anaweza sana...cha kumshauri labda arudie style yake ya zamani.
Yawezekana hujafanikiwa kuhudhuria show yoyote ya nature hvi krbuni,the only media inayombeba brother nature ni clouds fm,ila i hvnt heard wapi ckuhizi anaitwa labda anakopata ushabiki wa kutosha ni temeke ndio sana.mm was the one niliekua namkubali sana but muda wake umeisha ss.huo ndio ukweli.hta yy sasahivi anasema anabaniwa na media lkn nini kilitokea those days na sasa