Juma Nature: Nyota kubwa inayoelekea kuzimika


Kumbe unakiri kuwa ulikuwa teja ok endelea kuwasaidia wenzio ili wabadilike kama wewe maana naona unakaribia upata wajukuu ila unavyoviwaza na kuandika hata mwanao anakushangaa..
Kumbe unajijua mlidandia treni mkaja mjini na kujifanya mnajua mji juliko wenyeji unajidhalilisha wewe mwenyewe..
Sina tym ya kubishana na watoto wenye akili kama zako wendo design ileile ya ule wimbo wa wateule "bado yukovilevile" hadi leo unawaza kuzamia meli ufike ulaya wenzako wanapaa pipa kisa uborn town wakuja hao wametoka kimaisha wewe nado uko vilevile eti mtoto wa mjini.

Mtoto wa mjini hata hela ya Topaz hadi leo unaomba kwa wazazi wako. Embu nipishe hapa kwanza jina lako lenyewe lime kaa Kimawiha na mlivyokuwa washamba sijui lini mtaendelea.
 
Kalieni majungu na masufuria necha anapiga show zake kama kawa na anatengeneza pesa yake inayompa mkate wake wakila siku.
 
Aah watuwengine wanawaza kwa kutumbia p....mbu zao sijui bila kujibu hoja hawaridhiki mpk wachokonoe wenzao. Yani jf ipite thread bila kugombana hawajisikii kabisa.


Jitahidi kuepuka malumbano, si vema kujibishana mitandaoni
 

Ongeza na mtoto idi.. achana na hao mabwege hawajui raha aliyokuwa anatupa necha. Halafu hawajui ni necha tu mwenye uwezo mkubwa wa ku rap,kupiga chorus na kuimba kwa mpigo.jay mwenyewe kila akikaribia kupotea lazima amwite necha kugonga kibwagizo rejea zali la mentali, ndiyo mzee nk
 
Last edited by a moderator:
ajiunge na mr nice watoke upya
 

Ha ha ha hueleweki unaongea nini!!Ungekua unanifahamu ungemeza maneno yako,sijawahi kutumia kilevi chochote na haiwezi kunifanya niwatenge wanaotumia utakua ni unafiki badala yake ninawaambia madhara yake,hiyo inaitwa Hit where it hurts naona povu linakutoka usije ukaingia mwezini bure tupotezeane,mimi ninawalisha kula kulala kama wewe waliomaliza chuo hawana ajira wanaokesha Blogs, FB na IG wa5 for your info
 
nyie acheni ku diss wenzenu. ...kwanza lazima uelewe binadama hawezi kutamba milele mfano katika muziki ni kama mchezo wa mbio za vijiti tu..mnapokezana.walitamba wakina wacko jackoa bana, wu tang, sahv anatamba diamond lakini hatotamba milelw katika sana yake...kikubwa ni msanii anangalia yeye amepata nn au kufaidika vp. so ww uliye anzisha mada hiyo hujui nature ana mafanikio gani so mwache tu aishi kivyake
 
Kwa wakongwe,tunaoufahamu vizuri huu mziki wa Bongo Juma Nature bado tunampa respect..Manguli wengi wa enzi wameimba nyimbo zenye ujumbe na zinazodumu,hawa wapya kwenye fani wanajitahidi pia,teknolojia ikiwabeba zaidi. Kiujumla muziki ni sanaa,jamaa ni msanii na ana kipaji,sikiliza flow na vionjo..ni ngumu sana kwa wadau wengine mlio humu,hasa nyie mliokua shule za msingi na sekondari kwa wakati huo kuweza kutoa maoni sawia kwa hawa manguli wa mziki Bongo,mfanye utafiti zaidi.

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 

Juma ana albamu nyie zaid ya moja
 

Potezea mkuu@naumbu
 


mtu kama wewe ndio unabebeshwa mimba kisha humjui baba wa mtoto ni yupi...
Mimi naufuatilia vizuri huo mziki tangu Nature anatolewa na Mabaga kwenye mtulize.
Nachokueleza unatakiwa ukisikilize na kukifanyia kazi...then kama unaona mimi niko wrong nimekwambia nenda kamlipie pesa ya studio kisha atoe wimbo uone kama utabamba.
Nature aliwakamata mazezeta kama wewe na ndio maana akawa anawaimbia pasipo mtiririko na nyie mkawa mnashangilia tu...
Kama huna hoja nenda kachambe...sio wanakuzibua tu kisha unainuka na kusepa
 


wimbo unaombeba kwenye show ni hili game.
Tafuta acapella ya hili game kisha isikilize na utaungana na yule mtangazaji aliewahi kumwambia huo wimbo wa hili game ni beat ndio inaubeba.

Wimbo wake wa mwisho kuutoa ndio umegongelea msumali wa nwisho katika jeneza lake.

Dawa chungu ndio inayoponya...jamaa hajui
 
shifta inaonekana huu muziki umeanza kuufuatilia baada ya akina dogo janja kuanza kuimba,kaa umu:-
Nini chanzo
Wimbi la njaa
Biashara ya utumwa
Tumepigika
Mtoto Idd
Jinsi kijana
Muafaka(CCM na CUF)
Albino
Brother men
Kukaa nyumbani
Wazazi
Msafiri kafiri
Buriani

Hizi ni chache kati ya nyimbo nyingi za Nature ambazo zinaelimisha jamii unavosema hana nyimbo zenye maudhui chanya na jamii inaonyesha haumjui kabisa Kibra na waulize wanaofuatilia hii music industry nani mkongwe ambae hajawai kufanya collabo na Nature usitake kujua wangapi wametoka kupitia kipaji cha huyu kiumbe kama vipi ongopeni kuhusu hawa wanaovaa suruali za dada zao ndio sina profile zao ila wale wenye muziki wao kitambo utavaba.
 
Last edited by a moderator:


hayo ni majina ya nyimbo...
Twende kwenye kilichomo ndani ya hizo nyimbo sasa...
 
Last edited by a moderator:

Dada huku hapakufai hii sio taarabu kama kuna wanaokufurahisha au wanaokukunaga Nature sio sample yako na utazidi kumchukia kwa wivu usio na maana achana nae kwani lazima usikilize nyimbo zake tuachie sisi tunaojua thamani ya kazi zake na heshima anayostahili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…