Juma Njemba: Sangoma aliyeishi maisha ya peponi akiwa duniani

Haya ndio mambo tunayo yataka mkuu ..shusha nondo na Mimi badae nitashusha zangu..

Kuhusu kukwepa ajali inasemekana ndio zindiko lililo msaidia Zitto mwaka 2008 kwenye ajali ya Salome Mbatia..
Nimesoma post ya kwanza mpaka ya mwisho,Ndg LIKUD umesema utaendelea kutema nondo lkn leo siku ya tatu hamna mwendelezo wowote Mkuu.Juma Njemba anaonekana uwezo wake ulikuwa mkubwa kuliko Pablo Escobar ambaye alikuwa akikwambia jua la kesho hautaliona na kweli kesho haufiki salama.
Pili kumbe Tanzania yetu ni kubwa sana maana huyu jamaa ndio namskia kwa Mara ya kwanza leo
 
1. Umepatia kwa kuwa mimi na mwanae tumekuwa na makuzi mamoja, mtaa mmoja, shule moja,

2. Umepatia bint huyo alizaliwa katika miaka huyo mzee akiwa na umri unaofanana na namba uliyoitoa.

3.hapa umeweka dhana isiyo sahihi ingawa namfahamu vema huyo mwandishi.

4. Hatuko sanjari, huyu kaandika defamation kwa mzee huyu mashuhuri, kadhalilisha jina lake, kabuni matukio, na kaisemea uongo familiar yake.

Lakini kwa mtazamo wako upo huru kulinganisha masala haya kwa kadiri ya vipimo vyako.

Nakupongeza kwa umakini wako katika hoja zako zote nne.
Kuna mantiki katika andishi lako na umetumia akili katika matumizi sahihi.

Muhimu mkatazeni Likud kutukana na aache kuharibu majina ya watu kwa uzushi.
 
Kumtetea Juma Njemba ni kutapeli na kumsemea uongo ni kufanya mini?
Nimeweka Uzi kuhusu Juma Njemba na vituko vyake wewe umekuja na maelezo kujifanya una ukaribu na MTU alieachiwa mikoba na Juma Njemba lengo lako ni nini kama.sio.kutaka kuwatapeli watu..Unataka watu wakufuate pm uwaingize mkenge sio ? Acha ujinga wewe ..Mbona members wengine wanachangia bila kujifanya wana ukaribu na hao unao jifanya kuwa Apprentices wa Juma Njemba?

Mambo yote uliyo andika kuhusu Juma Njemba yote ni ya uongo hakuna la ukweli hata moja
.
Unasema Juma Njemba alifariki siku ya Alhamisi ya tarehe 24/11/2007 na kuzikwa kesho yake yani siku ya Ijumaa wakati hiyo tarehe 24/11/2007 ilikuwa siku ya Jumamosi..

Hahahaha jaribu kuja na gia nyingine with ur multiple fake ids..And I am.giving u a last warning before I update my thread na kutag jina lako na ids zako zote unazotumia nikiwatahadharisha innocent members of jf to stay away from you...

Jf members be warned with this guy before it is too late
 
Nilichojifunza
1.juma njemba alikuwa mganga mchawi wa kuogopwa
2.aliua watu
3.alifariki
4.likud ameleta histiroa ya upande mmoja
5.mwana familia kaja kuleta upande mzuri
6.njemba alikuwa mchawi.
7.hakuna aliyerithi mikoba mwenye nguvu kama njemba
Basi
 
Hahahahahahahaha unanipa fursa ya kuongeza afya yangu, umekasirishwa sans na hoja zangu? Hakuna jambo ninalolihofu katika tote uliyoyaeleza.

Mimi ni muungwana sana! Na sijihusishi na utapeli wa ain't yoyote. Nina amini kuwa ukithubutu kufanya yote uliyoyaainisha hapo katika komenti yako basi utaiita jamii ya wana Jf kukutambua vema kuwa wewe umeandika uwongo na udhalili mkubwa kwa mtu huyu.

Kuhusu kuhusika nae mtu huyu, ipo komenti hapo juu kaandika mwana Jf, ambaye ana mtazamo wa kina sana ambaye ameweza kusoma na kuelewa na sio kusoma na kujibu. Nakutaka some ili uelewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…