Juma Njemba: Sangoma aliyeishi maisha ya peponi akiwa duniani

Juma Njemba: Sangoma aliyeishi maisha ya peponi akiwa duniani

Mwaka 2001 huo nikiwa naishi kibondo,kuna siku nikatumwa kwenda kasulu kutoa photocopy na kuprint document za ofisini.nilikuwa toyota landcruza GX za UN kama mnakumbuka kipindi hicho kulikuwa bado na wakimbizi kwenye makambi kama nyarugusu.
Asubuhi mapema nikaondoka nikiwa na jamaa mwingine.
Kufika kasulu nikanunua na mananasi ya kutosha waliopo kipande hio watajua.mwidiweee salam niliipata sana wakati narudi.
Kufika njiani nikamkuta jamaa flani huwa namuona sana pale mjini kibondo akiwa peke yake porini!nikasimama ili nimpe lift akagoma.
Anyway mi nakachapa mwendo barabara ilikuwa rafu rodi lakini kwa GX nilitembea hadi spidi 140.
Kufika kibondo namkuta jamaa kafika kitambo anakunywa kahawa anacheza draft.sikuamini ilibidi nimtafute anieleze alifikaje kabla ya gari na hakukuwa na gari lilinipita njia??!!mambo aliyoniambia hadi siyaamini
Land Cruiser Gx nazipenda sana hizi gari
 
Acha ujinga..huwezi muibia MTU kwa staili hiyo..Jf is the Home Of the GT..
Nimeleta Uzi watu wasome wajifunze wewe unakuja kutangaza biashara za makanjanja wenzako..Aisee acha ujinga wewe jamaa

Once again Juma Njemba is dead na.mrithi wake alikufa pia ...
mi kazi yangu kutoa ushahidi niliouona kikweli bwana likud yuko sahihi kuwa hakuna mwenye uwezo ule tena na hilo nimesikia kwa nduguze wenyewe narudia niliishi kigoma 2 years ,ila wajukuu zake pia waganga ila tukirank top 20 ya waganga noma kigoma hao wajukuu hamna kitu hii aliniambia rafiki yangu marehemu kassim said tajiri wa mabot miaka hiyo so msimfate yoyote inbox hata mm mtaliwa sana
 
Back
Top Bottom