Juma Njemba: Sangoma aliyeishi maisha ya peponi akiwa duniani

Juma Njemba: Sangoma aliyeishi maisha ya peponi akiwa duniani

Shetani ni Mungu pia.. Anyways usitutoe kwenye Uzi..Nina nondo nyingi sana kuhusu huyu jamaa aitwae Juma Njemba ...Vituko na matukio yote makubwa aliyo yafanya..Ntashindwa kutiririka vizuri kwa sababu ya tapeli mmoja anae taka Ku capitalise kwenye hiyo fact ili awalize watu..please boy cot him
Wacha perepete umepoteza kuaminiwa kwa huu uongo wako

Unataka kujihami kwa kuita watu matepeli ona aibu basi

Aliyetapeliwa nani ktk waliochangia

Tumekwambia ukitaka historia ya kweli kuhusu Juma Njemba uende Ujiji muulizie mtu huyu Mwinyimbegu Jumaa Njemba akueleze kuhusu Babake wachana na habari za kuokoteza unajiabisha tuuuu
 
Wacha perepete umepoteza kuaminiwa kwa huu uongo wako

Unataka kujihami kwa kuita watu matepeli ona aibu basi

Aliyetapeliwa nani ktk waliochangia

Tumekwambia ukitaka historia ya kweli kuhusu Juma Njemba uende Ujiji muulizie mtu huyu Mwinyimbegu Jumaa Njemba akueleze kuhusu Babake wachana na habari za kuokoteza unajiabisha tuuuu

hahahahaha Mwinyi Mbegu my foot...Ngoja nimalize kazi zangu then ni edit Uzi wangu vizuri.. Will tag u and ur cohorts as fraudsters wannabe...Just stay tuned ..And this is not a threat , it is a promise
 
LIKUD nakushukuru kuknikumbusha story ya mzee wangu wa ujiji huyu mzee kwa wafanyabiashara wa mikoa ya Tabora, Mwanza, Kigoma, Shinyanga na wale wa nchi kama Rwanda na Burundi ikiwamo Congo watakumbuka zindiko lake la kupita na magendo bila kuonwa wala kukamatwa na askari na dawa ile ilikua mnapita mnaondoka askari mnawaona wao hawawaoni hata iwe mchana.
Duh!
 
Wacha perepete umepoteza kuaminiwa kwa huu uongo wako

Unataka kujihami kwa kuita watu matepeli ona aibu basi

Aliyetapeliwa nani ktk waliochangia

Tumekwambia ukitaka historia ya kweli kuhusu Juma Njemba uende Ujiji muulizie mtu huyu Mwinyimbegu Jumaa Njemba akueleze kuhusu Babake wachana na habari za kuokoteza unajiabisha tuuuu

Hivi we jamaa una akili kweli?kuna mtu anaweza kusema baba yake alikua muuaji au mshirikina?
 
Mkuu nakujaa kuandika kitabu cha huyo mtu atakuwa ni miongoni mwa watu watakaokuwepo kwenye chapters ya kitabu changu cha "The Crooks men ever lived in tz"...am comming all the way from Miami ........nina fund ya uandishi nimepata....
kuna kichwa kinaitwa Jombi...mby hiyo....Ali na ali and the like...
Hongera kwa kuona fursa
 
Back
Top Bottom