Juma Njemba: Sangoma aliyeishi maisha ya peponi akiwa duniani

Juma Njemba: Sangoma aliyeishi maisha ya peponi akiwa duniani

Bila kuroga duniani utapata pesa ya kula tu ndogo ndogo na kila biashara utakayofanya utaishia kupata hasara hata kama hiyo biashara uliifanyia utafiti wa kina na tathmin miaka 1000 bado utaishia hasara. Mshana jr njoo uwarlekeze pesa nyeusi ikoje.
hahhaa " wazee WA pesa zetu zileeeee""
 
Kaka niamini mm watu wa kigoma sio mchezo niliishi kule 2 yrs nilijionea makubwa nikiwasimuli watu huwa hawaamini mfano kigoma kuna mganga anaweka kinga ya sumu akimaliza kitest unakunywa sumu ya panya uliyonunua mwenyewe ,kwa macho yangu alienisimulia alisaga vioo na kumeza na bia
mmmhh "",
 
Acha uongo we jamaa..umesoma NAE wapi..mtoto wa mwisho wa Juma Njemba amezaliwa mwaka 1952...Unataka kutapeli watu eeh??? Mavi yako
hahaaah ati anasema kasoma nae inamaana nayeye nimzee
 
Wewe muongo aseeee

Halafu huyu Abu fiiyza Hakuna aliyemuambia amfuate PM kwanin umpe tuhuma za utapeli?

Unasema watoto wake hawajasoma wakati moja ya watoto ni mwandishi wa habari nenda ujiji kaulize namtaka Mwinyi mbegu njemba yeye atakupa ukweli
Usiwape watu tuhuma kulazimisha uongo

Njemba humfahamu sema umesikia kwa watu
Ukiambiwa moja ya wake zake yuko hai utaamini

Nenda ujiji waulize wakwambie ni nani hasa chief Jumaa Njemba achana na soga za kusikia Mtt wake Mwinyimbegu ni rahimu na maarufu mno Mji ule mtafute akueleze kuhusu babake
kwahiyo Likud anatunywesha chai ,""?
 
Nimeweka Uzi kuhusu Juma Njemba na vituko vyake wewe umekuja na maelezo kujifanya una ukaribu na MTU alieachiwa mikoba na Juma Njemba lengo lako ni nini kama.sio.kutaka kuwatapeli watu..Unataka watu wakufuate pm uwaingize mkenge sio ? Acha ujinga wewe ..Mbona members wengine wanachangia bila kujifanya wana ukaribu na hao unao jifanya kuwa Apprentices wa Juma Njemba?

Mambo yote uliyo andika kuhusu Juma Njemba yote ni ya uongo hakuna la ukweli hata moja
.
Unasema Juma Njemba alifariki siku ya Alhamisi ya tarehe 24/11/2007 na kuzikwa kesho yake yani siku ya Ijumaa wakati hiyo tarehe 24/11/2007 ilikuwa siku ya Jumamosi..

Hahahaha jaribu kuja na gia nyingine with ur multiple fake ids..And I am.giving u a last warning before I update my thread na kutag jina lako na ids zako zote unazotumia nikiwatahadharisha innocent members of jf to stay away from you...

Jf members be warned with this guy before it is too late
He he he huyu jamaa Ni mpumbavu haswaaa!amekazania kuniweka Mimi na jamaa kama tunatumia I'd moja!!

Ningefurahi sana endapo ungezianika hadharani hizo multiple ids ili umuumbue huyo jamaa
 
Back
Top Bottom