Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hujui kitu gani ?Ana ushahidi wa waliopitishwa bila kushinda? Viongozi kama hawa wanaoibua taharuki wanakera sana. Ukiwa kiongozi unapaswa sana kuwa na BUSARA NA NIDHAMU YA ULIMI! [emoji120][emoji120][emoji120]
Ahahaahaaa !!!! Hii nchi aisee!!Uchaguzi utakuwa huru na wa haki.
====
"Nadhani uchaguzi ujao utakuwa huru na haki,na Wakurugenzi hawatalazimishwa kuwatangaza walioshindwa kuwa washindi" Juma Nkamia
View attachment 2216769
Jikite kwenye mada2010 Jakaya alipigwa na dr Slaa,Mkamia anasemaje?
RigasiLegasi inazidi kupopolewa
Huyo hata aseme nini hana udhu wa kusema lolote. Jimboni kwake matokeo yalitangazwa mara 2. Usiku ameshindwa, asubuhi kashinda yeye.Aisee...ngoja tuone Luhanga Mpina atajibu nini
Kwamba hujui kikichotokea 2020? Mbona mnapenda kujitoa ufahamu watu wazima? Kipi cha Uongo hapo hadi kizue taharuki?Ana ushahidi wa waliopitishwa bila kushinda? Viongozi kama hawa wanaoibua taharuki wanakera sana. Ukiwa kiongozi unapaswa sana kuwa na BUSARA NA NIDHAMU YA ULIMI! [emoji120][emoji120][emoji120]
Kipi kipya cha kuzua taharuki?Huyu akamatwe akatoe maelezo ya kauli zake.
Kauli zake zinaweza sababisha vita vya wenyewe kwa wenyeee.
Amaichonganisha serikali na wananchi na vile vile tume ya uchaguzi na wananchi.
Mbona hukusema?2010 Jakaya alipigwa na dr Slaa,Mkamia anasemaje?
Si huyu huyu alikuwa anataka kupeleka hoja bungeni hayati Dr.Magufuli aongezewe muda nini kimempata.Uchaguzi utakuwa huru na wa haki.
====
"Nadhani uchaguzi ujao utakuwa huru na haki,na Wakurugenzi hawatalazimishwa kuwatangaza walioshindwa kuwa washindi" Juma Nkamia
View attachment 2216769
Legacy chaliiii. Bado yule chotara wa Nkasi aliyesema " magufuli alazimishwe".Legasi inazidi kupopolewa