Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe ndio wanavyofanya hawa kengeUchaguzi utakuwa huru na wa haki.
====
"Nadhani uchaguzi ujao utakuwa huru na haki,na Wakurugenzi hawatalazimishwa kuwatangaza walioshindwa kuwa washindi" Juma Nkamia
View attachment 2216769
Sio Mkamia ni Nkamia. Halafu kashasema kuanzia 2025 kwahiyo yanyuma usimuulize maana ameshakiri madhaifu2010 Jakaya alipigwa na dr Slaa,Mkamia anasemaje?
Ndiyo maana ccm wamekomaa na covid-19. Lisu angelikuwa raisiUchaguzi utakuwa huru na wa haki.
====
"Nadhani uchaguzi ujao utakuwa huru na haki,na Wakurugenzi hawatalazimishwa kuwatangaza walioshindwa kuwa washindi" Juma Nkamia
View attachment 2216769
Alikuwa ni dikteta haswaIla Magufuli kuna mambo aliharibu Sana hasa ishu za kujipatia ushindi wa mezani
Shetani akizeeka anakuwa malaikaSio Mkamia ni Nkamia. Halafu kashasema kuanzia 2025 kwahiyo yanyuma usimuulize maana ameshakiri madhaifu