kochakindo
JF-Expert Member
- Nov 3, 2014
- 773
- 526
Kwani amesema uongo?Ana ushahidi wa waliopitishwa bila kushinda? Viongozi kama hawa wanaoibua taharuki wanakera sana. Ukiwa kiongozi unapaswa sana kuwa na BUSARA NA NIDHAMU YA ULIMI! πππ
Ana ushahidi wa waliopitishwa bila kushinda? Viongozi kama hawa wanaoibua taharuki wanakera sana. Ukiwa kiongozi unapaswa sana kuwa na BUSARA NA NIDHAMU YA ULIMI! [emoji120][emoji120][emoji120]
Njaa hana lolote!Akili zimemrudia sheikh nkamia.
Kwahiyo walikuwa wanawatangaza?π€£π€£π€£Uchaguzi utakuwa huru na wa haki.
====
"Nadhani uchaguzi ujao utakuwa huru na haki,na Wakurugenzi hawatalazimishwa kuwatangaza walioshindwa kuwa washindi" Juma Nkamia
View attachment 2216769
wajukuu wa sheikh Yahya wapo kazini.Kajuaje
Mbinu zilizotumika sasaπ€£π€£Ila Magufuli kuna mambo aliharibu Sana hasa ishu za kujipatia ushindi wa mezani
baki kwenye mada mkuuπ€£π€£2010 Jakaya alipigwa na dr Slaa,Mkamia anasemaje?
Wanajiandaa kisaikolojia kuwa wapinzaniUchaguzi utakuwa huru na wa haki.
====
"Nadhani uchaguzi ujao utakuwa huru na haki,na Wakurugenzi hawatalazimishwa kuwatangaza walioshindwa kuwa washindi" Juma Nkamia
View attachment 2216769
π€£π€£π€£walipinga wakati ule.Kumbe ni dhahiri huwa wanatangazwa walioshindwa??
Du kumbe ukweli wanaujua vzr snUchaguzi utakuwa huru na wa haki.
====
"Nadhani uchaguzi ujao utakuwa huru na haki,na Wakurugenzi hawatalazimishwa kuwatangaza walioshindwa kuwa washindi" Juma Nkamia
View attachment 2216769
Mwacho atoe maoni yake si lazima yafanane na yako yeye anajua anachokisema. Bila ukweli kusemwa wazi na jadharani hatutasonga mbele kama Taifa. Wewe kweli unaamini Chadema lipata jimbo moja tu? Kwa nini chama tawala kilikata rufaa wakati wakurugenzi waliondolewa na mahakama kuu kusimamia uchaguzi? Kiliogopa nini! Kwa nini ha taki tume huru ya uchaguzi?Ana ushahidi wa waliopitishwa bila kushinda? Viongozi kama hawa wanaoibua taharuki wanakera sana. Ukiwa kiongozi unapaswa sana kuwa na BUSARA NA NIDHAMU YA ULIMI! πππ
Mwache atoe maoni yake si lazima yafanane na yako yeye anajua anachokisema. Bila ukweli kusemwa wazi na hadharani hatutasonga mbele kama Taifa. Wewe kweli unaamini Chadema ilipata jimbo moja tu? Kwa nini chama tawala kilikata rufaa wakati wakurugenzi walipoondolewa na mahakama kuu kusimamia uchaguzi? Kiliogopa nini! Kwa nini haki taki tume huru ya uchaguzi?Ana ushahidi wa waliopitishwa bila kushinda? Viongozi kama hawa wanaoibua taharuki wanakera sana. Ukiwa kiongozi unapaswa sana kuwa na BUSARA NA NIDHAMU YA ULIMI! πππ
Legasi ya jiwe la chunviiLegasi oyeeee !!!