BAKIIF Islamic
JF-Expert Member
- Jul 11, 2021
- 600
- 1,843
Waalaykum salama: Hapa ni Masjid Maamur Upanga kwa Mufty LondonAssalam aleikum hapo ni masjid maamur au omar bin khatwab?
Ngoja nijongee in sha Allah tupate jumaa pamoja jumaa maqbur jamiiaWaalaykum salama: Hapa ni Masjid Maamur Upanga kwa Mufty London
Kiama kitatokea siku ya Ijuma kati ya swala ya Ijuuma na swala ya Asr... kwahiyo tujiandae wakati wowote kitukute tukiwa wasafi na wenye kufanya ibada.Mtume Muhammad (s.a.w) anatujulisha mambo mawili muhimu yanayofanya siku ya ijumaa iwe bora miongoni mwa siku za juma. Kwanza ni kwamba, hii siku ya Ijumaa ndiyo aliyoumbwa Adamu. Pili ni kwamba siku hii ya ijumaa, baada ya Adamu kumkosea Mwenyezi Mungu aliomba msamaha na toba yake ikapokelewa. Tunahitaji kuyaangalia mambo haya mawili kwa kina zaidi ndani ya vitabu vitakatifu vya Mwenyezi Mungu.
Ijumaa Karim. Mtukumbuke wote kwenye sala msitusahau. Pia muombe sala amani itawale duniani na mfumuko wa bei ushukee.Mtume Muhammad (s.a.w) anatujulisha mambo mawili muhimu yanayofanya siku ya ijumaa iwe bora miongoni mwa siku za juma. Kwanza ni kwamba, hii siku ya Ijumaa ndiyo aliyoumbwa Adamu. Pili ni kwamba siku hii ya ijumaa, baada ya Adamu kumkosea Mwenyezi Mungu aliomba msamaha na toba yake ikapokelewa. Tunahitaji kuyaangalia mambo haya mawili kwa kina zaidi ndani ya vitabu vitakatifu vya Mwenyezi Mungu.
Wewe mdada wapikistan hatujakusahau kutuchongea kuhusu yard yetu. Omba msamaha faster na irudishe million yetu kabla hatujamaliza sala.Pikeni madikodiko watu waje
Baraka llahu FiiIjumaa njema
Maasha'AllahNgoja nijongee in sha Allah tupate jumaa pamoja jumaa maqbur jamiia
Hakika umenenaKiama kitatokea siku ya Ijuma kati ya swala ya Ijuuma na swala ya Asr... kwahiyo tujiandae wakati wowote kitukute tukiwa wasafi na wenye kufanya ibada.
InshallahIjumaa Karim. Mtukumbuke wote kwenye sala msitusahau. Pia muombe sala amani itawale duniani na mfumuko wa bei ushukee.
Porojo hiziKiama kitatokea siku ya Ijuma kati ya swala ya Ijuuma na swala ya Asr... kwahiyo tujiandae wakati wowote kitukute tukiwa wasafi na wenye kufanya ibada.