Jumba la kifahari la Mbunge Bilionea lateketezwa, magari, mifugo vyaharibiwa vibaya +254

Jumba la kifahari la Mbunge Bilionea lateketezwa, magari, mifugo vyaharibiwa vibaya +254

Kama kichwa cha habari kinavyosema jumba la kifahari la mbunge aliyekubali ule muswada wa kuwafanya wakenya kuwa watumwa katika ardhi yao, limeunguzwa, mifugo, magari ya gharama yote vimechomwa
VIVA GEN-Z WACHA SISI TUENDELEE KUTYPE KUHUSU SATIVA HAPA JAMII FORUMS
MLALE UNONO KWAKO johnthebaptist


View: https://www.youtube.com/watch?v=lnphxaOw63w


He reap what he sow.
Hii ikitokea nchini Tanzania Nina uhakika wale Wabunge wa 'kuunga mkono hoja Mia kwa Mia wangepata akili.'
 
Ni afadhali jeshi lichukue nchi tu!

Raia Ruto nchi imeshamshinda

Kwanini hizi serikali zinang'ang'ana na sera au sheria ambazo wananchi hawazitaki???

Katika situation kama hii ya umati mkubwa hivi utarusha bomu au risasi wapi? Utaua watu wote hawa?

Hili hata Tanzania linakuja
 
I Wonder Who Is Behind All This I See Zakayo Living The House
nakubaliana na wewe Zakayo hana muda mrefu kwa hili seke seke analopitia. Aliwa underate vijana akajua kumwaga jeshi ni njia mbdala tazama video kule almost 300k Gen z mpaka Polisi wanapanda magari wanakimbia
 
Back
Top Bottom