Molo sio Nairobi county. Huyo ni mbunge wa Molo Rift Valley.Slum dwellers kuna kile kitabu cha literature kilitungiwa slums za Kenya sikumbuki Jina Nairobi ni Jiji Ila kuna slum 1 ya ajabu Tandale kuzuri
Mchawi ni Ruto. Hakuna Cha behind Wala Nini.I Wonder Who Is Behind All This I See Zakayo Living The House
Yes where is it? Nilimix mafaili kwa huko Kenya hio place IPO kwa wapi?Molo sio Nairobi county. Huyo ni mbunge wa Molo Rift Valley.
NakuruYes where is it? Nilimix mafaili kwa huko Kenya hio place IPO kwa wapi?
Thanks 🙏🏼 hio ni slum emu nikumbushe Jina la kitabu hichoNakuru
WahuniWakenya wanafurahisha sana wao wenyewe kutuliza vurugu hawawezi, ndio wanataka kupambana na wahuni wa Haiti wenye silaha.
Hao vijana sio waandamanaji ni wahuni, last time walivamia shamba la Kenyatta na kuondoka na mifugo kadhaa; mbuzi wakiwa wengi na shamba la Ruto walifanya uharibifu.
Sasa hayo maandamano ya kutaka mabadiliko au vijana wahuni tu.
Kama kichwa cha habari kinavyosema jumba la kifahari la mbunge aliyekubali ule muswada wa kuwafanya wakenya kuwa watumwa katika ardhi yao, limeunguzwa, mifugo, magari ya gharama yote vimechomwa
VIVA GEN-Z WACHA SISI TUENDELEE KUTYPE KUHUSU SATIVA HAPA JAMII FORUMS
MLALE UNONO KWAKO johnthebaptist
View: https://www.youtube.com/watch?v=lnphxaOw63w
CCM watasema ni CHADEMA. Sasa hivi viongozi wote wa chadema wangekuwa vituo vya polisi visivyojulikana.I Wonder Who Is Behind All This I See Zakayo Living The House
Juzi nimeona majeshi ya Kenya yanawasili Hait port prince.Wakenya wanafurahisha sana wao wenyewe kutuliza vurugu kwao hawawezi, ndio wanataka kupambana na wahuni wa Haiti wenye silaha.
Hao vijana sio waandamanaji ni wahuni, last time walivamia shamba la Kenyatta na kuondoka na mifugo kadhaa; mbuzi wakiwa wengi na kwenye shamba la Ruto nako walifanya uharibifu.
Sasa hayo maandamano ya kutaka mabadiliko au vijana wahuni tu.
Afadhali ata ingekuwa jeshi wamepeleka polisi ku-deal na wahuni wenye kutumia silaha hadi kuisumbua serikali ya Haiti. Polisi hao hao awawezi zuia vijana wenye hasira tu uko kwao.Juzi nimeona majeshi ya Kenya yanawasili Hait port prince.
Lakini unajua kule wamepeleka bodies tu, viongozi vinara wa Haiti ni Marekani, hao ndio watakao simamia operation nzima, hawakutaka kuonekana wamehodhi kila kitu, wakatafuta kibaraka wakamlipa posho akatoa wanajeshi.Afadhali ata ingekuwa jeshi wamepeleka polisi ku-deal na wahuni wenye kutumia silaha hadi kuisumbua serikali ya Haiti. Polisi hao hao awawezi zuia vijana wenye hasira tu uko kwao.
Majirani zetu wazimu kweli, imagine hapo ndio raisi wao kaitisha temporary ‘martial law’ ku-deal na temporary social unrest.
Hilo jeshi umeliona mtaani likidhurura na police presence to deter some protesters.
Ni sawa na Nigeria wanatumia hela nyingi kwenye defenfe katika nchi za Africa, lakini jeshi lao ni poorly trained.
Kidera slumSlum dwellers kuna kile kitabu cha literature kilitungiwa slums za Kenya sikumbuki Jina Nairobi ni Jiji Ila kuna slum 1 ya ajabu Tandale kuzuri
Vitu kama matetemeko ya ardhi na vurugu za kisiasa hasara zake haziko covered na bimaHakuna hasara hapo.
Hivyo vyote vina bima, atalipwa kila kitu na nyongeza juu
There is some truth to that.Lakini unajua kule wamepeleka bodies tu, viongozi vinara wa Haiti ni Marekani, hao ndio watakao simamia operation nzima, hawakutaka kuonekana wamehodhi kila kitu, wakatafuta kibaraka wakamlipa posho akatoa wanajeshi.
Ruto alialikwa Ikulu huko Marekani hiyo ilikuwa kumpaka mafuta kwa mgongo wa chupa.
Kama kichwa cha habari kinavyosema jumba la kifahari la mbunge aliyekubali ule muswada wa kuwafanya wakenya kuwa watumwa katika ardhi yao, limeunguzwa, mifugo, magari ya gharama yote vimechomwa
VIVA GEN-Z WACHA SISI TUENDELEE KUTYPE KUHUSU SATIVA HAPA JAMII FORUMS
MLALE UNONO Gen-z wakimaliza kenya karibu tanzania tutaanzia kwa yule profesor wa uchumi wa kukamuwa wananchi. . Ccm msifikiri mtaendelea kula kodi za wanachi huku mkituambia masikini hakopi. Kunasiku masikini hao hao watakuja kuchukuwa v8 zao bila leseni ya kuziendesha.
US waliomba askari kutoka kila pande ya dunia, Kenya sio pekeyao, ila walitoa wengi na walisema wataendelea kutoa ikiwa watahitajika. Lakini wanapotoa wanalipwa na US pia, na ndio unaona hata Ruto anakuwa na kiburi.There is some truth to that.
US ndio ina fund kila kitu.
Kambi wanajenga wao, silaha wanatoa wao, vitendea kazi wanatoa na training ni wao.
Iła Kenya sio wa kwanza, they have provided the same support to many neighbouring countries na wote wqmekimbia.
US has interest in Haiti nadhani sukari yao inatoka huko na kahawa nadhani or some other agriculture product. They can’t commit full time na upuuzi wa huko but they can afford to pay $2 billion for someone else to deal with that nonsense.
Ukipata mpuuzi ambae yupo tayari kujitolea kama Kenya, US are happy to pay for their costs.
Young people from Uganda, Tanzania, Rwanda,and Burundi take note and lesson from kenya.ZAKAYO THE TAX COLLECTOR HANA MUDA MADARAKANI NI SUALA LA MUDA TU NA UNABII UTAKUWA UNATIMIZWA👇
View: https://www.youtube.com/watch?v=xurzFoUhohs