Jumuiya ya Ulaya na baadhi ya balozi za nchi za Magharibi kutoa tamko juu ya uchaguzi Serikali za Mitaa

Basi kama ni hivyo, ulikuwa ni mpango wa Mungu kumuandaa kuwa Rais, tusingemfahamu pengine Leo hii
 
Kumbe Lissu ni mtu mkubwa sana nda i na nje ya Tanzania kama anaweza.kushawishi hao mabeberu kiasi hicho.

lissi kupigwa Risasi ilikuwa mpango wa Mungu kuweka mchoro wa ukombozi wa taifa hili.
 
 
Basi kama ni hivyo, ulikuwa ni mpango wa Mungu kumuandaa kuwa Rais, tusingemfahamu pengine Leo hii

Sifa pekee ya Magufuli ni uchapa kazi, lakini sio mtu sahihi kwa nafasi ya urais. Nafasi kubwa ya mwisho ya Magufuli ilipaswa kuwa waziri mkuu basi.
 
UMEWAONA CHADEMA HAO?
wewe ni mdogo sana nchi hii.
hauwezi JUA NGUVU YA CHADEMA.
Ila amini kwamba hata yule wa magogoni siku hizi mbili tatu hajalala kwa raha.
simu yake ilikuwa bize.
Wenye Tanzania yao WALIKUWA WANAMSUMBUA.
RELAX
Wagome au wasigome kwani Chadema kina nani hadi waogopwe
 
Hao wanafiki tu wanaishia kusema tu.kama wako serious waondoe balozi zao, vinginevyo Ni unafiki
Mama yako anavaa pedi za misaada ya Hao mnaowaita mabeberu mbwa wewe .

I see the next Eritrea
 
Wasenge wa Lumumba mmejaa humu mnaandika uku*a , ku****ee zenu
 
Kumbe Lissu ni mtu mkubwa sana nda i na nje ya Tanzania kama anaweza.kushawishi hao mabeberu kiasi hicho.

lissi kupigwa Risasi ilikuwa mpango wa Mungu kuweka mchoro wa ukombozi wa taifa hili.
Ukombozi upi? Mwaka 1961 tulishajikomboa.
 
Sifa pekee ya Magufuli ni uchapa kazi, lakini sio mtu sahihi kwa nafasi ya urais. Nafasi kubwa ya mwisho ya Magufuli ilipaswa kuwa waziri mkuu basi.
Wewe wasema, mshachelewa
 
Mbona hizo jumuia hatuzioni kwenye maswala kama ya mauaji ya Raia kule Syria, kuuawa kwa Ghadafi, kuuwawa kwa Sadam, au uchaguzi wa marekani, wanatafuta nchi ambazo zimetulia tu na kutaka kuzivuruga. Shame on them. Hypocrites.
 
Nyumbu acheni propaganda, asilale kisa nyie?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…